Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Mimi kwa kweli nasubiri majibu ya wajumbe wengine, sitaki kabisa kuharibu mjadala.
Uwe unatoa na muhtasari basi, maana tuna mambo mengi yenye tija kwa taifa.
Kwa mfano hapa mnajadili nini??
Kwahiyo ameamua kunipunguzia idadi. Kweli hana adabu...Huyu jamaa anasema eti una miliki hawara kumi na sita na bado unatamani wake,wachumba na mabinti za watu,ndio nikaja kukuuliza hizi tuhuma za kweli??
Kwahiyo ameamua kunipunguzia idadi. Kweli hana adabu...
Achana naye.
Vyovyote vile... hata kwa kuuaAah niachane nae kwa talaka au?
Vyovyote vile... hata kwa kuua
Aiseh hiyo picha yako tu, sijafatilia ulikua unaongelea nini vire!?Eti jamani, kwa jinsi dunia hii ilivyobarikiwa wanawake wazuri na wengine wanaendelea kuzaliwa kilasiku, wenye misambwanda ya hatari na super mtindiz (kama asemavyo mdingi le mutuz) je ni sahihi kwa mwanaume kumiliki mzigo mmoja tu? Kwa upande wangu mimi naona dhambi kwa Mungu sijui wenzangu
View attachment 479218
DuuuuuShetani na nguvu zote alizonazo na ujanja wote hana mke wala hawara,we unawataka wengi wa nini mkuu! hifadhi nguvu na muda wako kwa mambo ya maana.
Daaah mkuu umeuaShetani na nguvu zote alizonazo na ujanja wote hana mke wala hawara,we unawataka wengi wa nini mkuu! hifadhi nguvu na muda wako kwa mambo ya maana.