Je, mwanaume handsome anasifa zipi?

Je, mwanaume handsome anasifa zipi?

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,476
Reaction score
3,538
Binafsi sielewi,

Mbali na kukosa hela na kutokua na pamba kali, nimekua nikipokea attention za ajabu kwenye watu wengi.

Wadada walonizidi, watu wazima na wake za watu wakifunguka kunitaka wazi wazi na kuhongwa, nikikataa wanasema naringa na sijiamini.

Walevel zangu nikiwafata hunikataa kwa madai nimuongo siko single. Yupo alowahi niambia mimi mzuri ila nisiringe.

Wapo walionisifia kwa macho, wengine nywele za kisomali, wengine lips, wengine kifua na vitu kibao tofauti.

Waajabu ni wanne walozimika na vidole vya mikono mpaka vikawadoloa.
ila wengi huniogopa kudhani ni player kumbe no.

Swali!

Handsome anasifa zipi?

Kwanini wadada mnaogopa wakaka wenye muonekano mzuri?

IMG_201711331_115646.jpg


Bila kusahau bado sina kazi naganga njaa, mana siamini katika msingi kiuno.
 
Wakati na sisi tunawataka nyie nyie wa mkoani. Tutakuja huko huko tule wote ugali asubuhi.
Kaeni huko huko. Mshazoea vya kunyonga nyinyi! Kuchimbua mihogo Hujui, kumenya Hujui, kwenda Shamba uvune Mahindi uje kuchemsha tule! Huwezi. Kukamata kuku bandani, nichinje kisha umuandae, hauwezi! Wewe ishia huko huko na Kuku wenu waliochinjwa Johannesburg wiki iliopita!
 
Kaeni huko huko. Mshazoea vya kunyonga nyinyi! Kuchimbua mihogo Hujui, kumenya Hujui, kwenda Shamba uvune Mahindi uje kuchemsha tule! Huwezi. Kukamata kuku bandani, nichinje kisha umuandae, hauwezi! Wewe ishia huko huko na Kuku wenu waliochinjwa Johannesburg wiki iliopita!
Si ndo tunafundishana taratibu tu mpaka nijue mkuu.
 
Kaeni huko huko. Mshazoea vya kunyonga nyinyi! Kuchimbua mihogo Hujui, kumenya Hujui, kwenda Shamba uvune Mahindi uje kuchemsha tule! Huwezi. Kukamata kuku bandani, nichinje kisha umuandae, hauwezi! Wewe ishia huko huko na Kuku wenu waliochinjwa Johannesburg wiki iliopita!
hahaha kuku aliechinjwa jo'burg wiki iliyopita...aisee
 
Wewe nakujua una sura kama chemba ya choo iliyowazi, kidevu kama kipande cha kashata, ngozi kama ya pumb, 90% ukiona mtu anajinad kwa kua na hiki bas ujue ndo alichokikosa. Sema kwenye pesa umesema ukweli huna ni kama mimi tu, sura ukataka kunikimbia.
 
Dah sasa huu ni muda muafaka wa serikali kutuwekea ulinzi wanaume marijali maana tunazidi kupungua..

Cheki mtoa maada anavyojisifia uzuri hadi kucha kapaka rangi alafu watu bado hamjaelewa tangazo lake la biashara ya (mara paaap)

Serikali ituwekee ulinzi wanaume marijali tusije kuisha
 
Back
Top Bottom