Level gani?
ungeweka cv ikiwezakana na uzoefu bila kusahau picha
watu tukutambue otherwise unawezakuwa FATAKI
Wewe sidhani kama unamsaada,waalimu wa hesabu hawajitangazi wanafunzi wanawajua kwa matunda yao.au mmefikia hatua ya kuigeuza elimu ni kama uganga wa kienyeji?