Finegirlone
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,836
- 3,617
Kweli ndiyo maana kufika tu chumban anaanza kuhesabu vitu vitu kuangalia mapazia , nguo,mala anatoa kasolo kibao wakati yeye ni mgen , angesubili angalau ata week ipite awe mwenyejiHuyo anataka kuolewa na Mwanaume mwenye kila kitu kiuchumi tofauti na Mwanaume ambaye anaanza kujijenga kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app

Maana yake hufai kuwa hata na baiskel
Na ndiyo Wanawake tulionao kizazi hiki, cha muhimu endelea kumwomba tu Mungu bila kukata tamaa Chifu.Kweli ndiyo maana kufika tu chumban anaanza kuhesabu vitu vitu kuangalia mapazia , nguo,mala anatoa kasolo kibao wakati yeye ni mgen , angesubili angalau ata week ipite awe mwenyeji
Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo wa mtu msitu na muda ni tabibu,jaribu kumkaribisha tena then tupe mrejesho.
Sie tuliopo humu sio watanzania kumbe? Au sie matawi ya juu 😀😀😀Hawez kuiona yeye jf ataijulia wap?, kwa Dada zetu awa wakitanzania wengi awana uwelewa wakuijua jf
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwa kifupi huyo harudi tena, mtoa mada ametathminiwa na kukutwa ana life bovu sana!Mkos gani? Mimi nilivyo msoma nimeona amekuja kwa lengo la kujua kwenye geto langu kuna vitu gani, alitegemea atakuta home theater, Flat screen , friji, kabet la manyoya fen, kitanda 6×6 , sasa alivyo tarajia kakuta tofaut
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkos gani? Mimi nilivyo msoma nimeona amekuja kwa lengo la kujua kwenye geto langu kuna vitu gani, alitegemea atakuta home theater, Flat screen , friji, kabet la manyoya fen, kitanda 6×6 , sasa alivyo tarajia kakuta tofaut
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaa always when i meet your comment my day become goodHahaha kwa kifupi huyo harudi tena, mtoa mada ametathminiwa na kukutwa ana life bovu sana!
Yani mtoto alipiga hesabu za dstv na nchi 55 za LG ukutani, hometheatre ya maana,kapet manyoya na tanda la 6*6 ila maskini kakuta tv ya chogo, antena ya kidole dirishani, godoro ulimi wa ng'ombe, cieling board full ramani ukijumlisha na joto kali uswahilini matusi aliotukana kimoyomoyo nayahifadhi!
Ayo maswali ya kinafiki tu ila hali ndio kama hivyo! Kimsingi jitahidi upige kabisa maana akitoka harudi tena, kama akirudi hapo huyo demu nakulipia tiketi ya taifa stars ukacheki gemu bure.
aisee huyo alikuja kukuchora achana nae kabisaKuna dem nilimtongoza akakubali , akaniamba anataka kuja kupaona ninapoishi nikamwambia usijar utapajua, siku niliyokuwa free nikamuelekeza getto akaja chakushangaa Nashangaa anaaza kuchunguza chumba changu na nikaona kamanipo kwenye usaili , yan mgen mala yakwanza unaanza kuchambua pazia, nguo zangu vyombo mbaka Leo uyu bint sija muelewa alikuja kunipeleleza Nina vitu vya saman kias gan ili ajilinganishe na vitu vyake? Na Mimi Nina godoro na baskel na akauliza baskel yanan du uyu kwe dem anafahaa kuweka ndani kwel?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwa kifupi huyo harudi tena, mtoa mada ametathminiwa na kukutwa ana life bovu sana!
Yani mtoto alipiga hesabu za dstv na nchi 55 za LG ukutani, hometheatre ya maana,kapet manyoya na tanda la 6*6 ila maskini kakuta tv ya chogo, antena ya kidole dirishani, godoro ulimi wa ng'ombe, cieling board full ramani ukijumlisha na joto kali uswahilini matusi aliotukana kimoyomoyo nayahifadhi!
Ayo maswali ya kinafiki tu ila hali ndio kama hivyo! Kimsingi jitahidi upige kabisa maana akitoka harudi tena, kama akirudi hapo huyo demu nakulipia tiketi ya taifa stars ukacheki gemu bure.












Hii picha uliyoweka JF aliiona?
Kwani wewe ulivyomtongoza ulimwambia untaka kumuoa palepale??Kuna dem nilimtongoza akakubali , akaniamba anataka kuja kupaona ninapoishi nikamwambia usijar utapajua, siku niliyokuwa free nikamuelekeza getto akaja chakushangaa Nashangaa anaaza kuchunguza chumba changu na nikaona kamanipo kwenye usaili , yan mgen mala yakwanza unaanza kuchambua pazia, nguo zangu vyombo mbaka Leo uyu bint sija muelewa alikuja kunipeleleza Nina vitu vya saman kias gan ili ajilinganishe na vitu vyake? Na Mimi Nina godoro na baskel na akauliza baskel yanan du uyu kwe dem anafahaa kuweka ndani kwel?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wenye kila kitu tunapiga na kusepa. Hkuna vya bure.Huyo anataka kuolewa na Mwanaume mwenye kila kitu kiuchumi tofauti na Mwanaume ambaye anaanza kujijenga kiuchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app