jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,115
Kuna dem nilimtongoza akakubali , akaniamba anataka kuja kupaona ninapoishi nikamwambia usijar utapajua, siku niliyokuwa free nikamuelekeza getto akaja chakushangaa Nashangaa anaaza kuchunguza chumba changu na nikaona kamanipo kwenye usaili , yan mgen mala yakwanza unaanza kuchambua pazia, nguo zangu vyombo mbaka Leo uyu bint sija muelewa alikuja kunipeleleza Nina vitu vya saman kias gan ili ajilinganishe na vitu vyake? Na Mimi Nina godoro na baskel na akauliza baskel yanan du uyu kwe dem anafahaa kuweka ndani kwel?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app