muwa ni mboga mkuu ushawahi kula majani ya muwa?
Mimi nshawahi kula tena nilichanganya na mapapai mabichi.ni tamu sana.
Kama karanga mbichi na dagaa wakavu ambayo hawajapikwa yaani ni kitafunio kizuri sana ukiishapiga pombe ya komoni au viroba.
Uwiiii
Mimi nshawahi kula tena nilichanganya na mapapai mabichi.ni tamu sana.
Kama karanga mbichi na dagaa wakavu ambayo hawajapikwa yaani ni kitafunio kizuri sana ukiishapiga pombe ya komoni au viroba.
Kwenye muwa kuna sukari aina ya Sucrose,ambayo ni non reducing sugar.
Muwa sio tunda, upo kwenye kundi la majani...
lakini nayo si carbohydrate na end producy yake ni glucose.
hapana lakini vinashabihiana MpwaKwani vina uhusiano mkuu?
Mfano wa matunda ambayo hayana mbegu ni vzur ukayataja kwa faida ya wengMkuu, nikurekebishe kidgo. Fruit kuita fruit si lazima liwe na mbegu za kuendeleza uzaz n specie husika. Kuna baadhi ya matunda hayana mbegu kabisa.
Tuje kwenye topic. Kama ulivyosema huwa tunakula matunda, mziz, majana hata sterm...sasa mua lipo kwenye kundi la shina