Je, MUNGU ni mwizi?

asante kwa elimu hiyo upo sahih MUNGU alimwibia adamu ubavu mmoja akamtajirisha kwa kumpa mwanamke
 
Sasa mzee hapo si ni sawa mi nachukua kitu chako kisha natengeneza kitu ambacho pia kitakuwa chako. Sasa wizi uko wapi hapo
Wizi ni nini?Wizi ni kuchukua kitu cha mtu/watu/viumbe hai bila ruhusa au ridhaa yake/yao.
SWALI:
JE,Adamu alikuwa ni moja ya miliki ya yanayomuhusu Mungu?Kama Mungu ndiye Muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana,Adam alikuwepo ndani yake?Kujitwalia kilicho katika milki yako ni wizi?Mimi sijui.😜😜😜😜😜😜
 
Je Mungu ni mwizi,
kwani si
alimtia
Adamu usingizini
Kisha akamwimbia
Ubavu wake
Mmoja?
Kabla haujaumiza kichwa chako inabidi ujue kua biblia na kitabu cha mafumbo...

Hivyo habari zinazosimuliwa mule zina maana nyingine na sio ya moja kwa moja kama tunavyodhani.

Na walioandaa mafumbo hayo ni watu tu.
 
Kabla haujaumiza kichwa chako inabidi ujue kua biblia na kitabu cha mafumbo...

Hivyo habari zinazosimuliwa mule zina maana nyingine na sio ya moja kwa moja kama tunavyodhani.

Na walioandaa mafumbo hayo ni watu tu.
Upo sahihi na kimewekwa hivyo makusudi ili watu wasielewe DINI zipate wafuasi hata hivyo viongozi wa DINI wanatafsiri kwa maslahi Yao.
 
Yaani Utengeneze kitu kwa mikono yako kisha ukiombe hicho kitu kuwa naomba kitu fulani kutoka kwako?? Mzee Allah yupo atakuwepo siku yaja ataonesha ukuu wake be ready!
 
Kabla haujaumiza kichwa chako inabidi ujue kua biblia na kitabu cha mafumbo...

Hivyo habari zinazosimuliwa mule zina maana nyingine na sio ya moja kwa moja kama tunavyodhani.

Na walioandaa mafumbo hayo ni watu tu.
sawa mkuu nimekuelewa
 
Yaani Utengeneze kitu kwa mikono yako kisha ukiombe hicho kitu kuwa naomba kitu fulani kutoka kwako?? Mzee Allah yupo atakuwepo siku yaja ataonesha ukuu wake be ready!
I'M READY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…