Je, Mpenzi wangu ni mkweli?

Je, Mpenzi wangu ni mkweli?

bebii

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
31
Reaction score
10
Mim naomba ushaur utamjuaje mpenzi wakweli maana mim nina mpenz wangu kila Mara anasema yuko busy hata simu hapokei Mara nyingine ukimuuliza sababu anasema yuko busy
 
Kusoma hujuwi, ata picha huoni??!! haya iulize google
 
bebii tulia tu yuko busy acha kumsumbua.
Mapenzi sio kuchat au kupigiana simu, wapenzi wanakuwa pamoja simu ni nyongeza tu.
sasa kama hamjafikia mda wa kuwa mnaambatana pamoja kwenye mizunguko mbalimbali hapo hesabu huyo si wako peke yako, na usilalamike asipopokea simu yako
 
mademu wa bongo awajui muda kazi wa kupumzika wao kuchati tu!usipomjibu kupokea call yake.basi nongwa ndio maana mnemegwa na kuchwa me mwenyewe sipendi usumbufu nikiwa job au nimepumzika!
 
mademu wa bongo awajui muda kazi wa kupumzika wao kuchati tu!usipomjibu kupokea call yake.basi nongwa ndio maana mnemegwa na kuchwa me mwenyewe sipendi usumbufu nikiwa job au nimepumzika!

Hahah...nimekupenda bureee
 
Udijipotezee muda na huyo, fikiria yako. Kama ameshakula mzigo sahau kabisa ka bado usimpe. Inaelekea unajisukuma kwake sana na majibu hayo mmmhhh, hadi akuambie nini utaelewa hataki?

Pia anawake huyo labda hata ndoa.
 
Back
Top Bottom