Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
Naomben wadau ambao mshawahi fika katavi tujuzane je panafaa kwenda kuparangana kutafuta maisha
Kwa mtu wa hali chini mwenye mtaji chini ya milion?
Je Morogoro na Katavi wako pako vizuri zaid ki utafutaji kwa mtu anaeanza maisha?
Asanten naomba wadau mnaoishi Katavi tujuzane jamani
NB siendi kwa kilimo ila nataka niende mikoa yenye wakulima na sitaki kwenda Majiji makubwa kama Mwanza na Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu wa hali chini mwenye mtaji chini ya milion?
Je Morogoro na Katavi wako pako vizuri zaid ki utafutaji kwa mtu anaeanza maisha?
Asanten naomba wadau mnaoishi Katavi tujuzane jamani
NB siendi kwa kilimo ila nataka niende mikoa yenye wakulima na sitaki kwenda Majiji makubwa kama Mwanza na Dar
Sent using Jamii Forums mobile app