Umesema kweli, nakumbuka miaka ya 1990 chuo cha kitabibu cha IMTU kilichopo Mbezi Beach kiliwahi kuzua kasheshe baada ya kuchukua mwili wa mtu aliyekufa sina uhakika kama ilikuwa ni Muhimbili kwa ajili ya wanafunzi kuufanyia utafiti, kama sikosei.
Jambo hilo liliandikwa kwenye vyombo vya habari kukazuka malumbano makubwa sana, hata siju yaliishia wapi.