Je mkulima anaijua escrow?

Je mkulima anaijua escrow?

KAYILAZ

Senior Member
Joined
Nov 14, 2014
Posts
195
Reaction score
30
Wadau habari zenu?naomba kuwaulizeni maswali yafuatayo;hivi wakulima wanalijua sakata hili la escrow account?siamini kama hii issue wapiga kura wanajua huko vijijini.maana naona watanzania hawana tabia ya kufuatalia habari na kuzichuja.pia hata mijini wengi wetu hawafatilii sijui tatizo nini?au maisha magumu na ufukara uliopindukia?ccm wanajivunia huu mtaji wa watu ambao hawana uelewa na ndio wapiga kura wakuu.TANZANIA INA MAJANGA YA UMASIKINI NA UFISADI ULIOKITHIRI.JE NINI HATIMA YA HILI JAMBO?
 
Unaanzaje kutafuta kuielewa Escrow wakati hata 100 ya kununua chumvi issue?
 
Unaanzaje kufuatilia ESCROW wakati njaa inauma kama tindikali?!
 
Wadau habari zenu?naomba kuwaulizeni maswali yafuatayo;hivi wakulima wanalijua sakata hili la escrow account?siamini kama hii issue wapiga kura wanajua huko vijijini.maana naona watanzania hawana tabia ya kufuatalia habari na kuzichuja.pia hata mijini wengi wetu hawafatilii sijui tatizo nini?au maisha magumu na ufukara uliopindukia?ccm wanajivunia huu mtaji wa watu ambao hawana uelewa na ndio wapiga kura wakuu.TANZANIA INA MAJANGA YA UMASIKINI NA UFISADI ULIOKITHIRI.JE NINI HATIMA YA HILI JAMBO?

Naamini hata wewe pengine umeisikia tu lakini huijui Escrow. Ndivyo walivyo watu wengi (99%) hivi. Mtaijua polepole subirini!
 
Mimi naona wattu tunaolijua hasa hili la escrow ni vijana make mda wote tunakuwa bega kwa bega na mitandao ya kijamii na undo wapiga kura tulio wing sasa bas nataka kuwaomba vijana wenzang tujitahid jupata ile ID ya au kitambulisho cha mpiga kura kwani wing wao hawana ID ya kura na pia kuhusu kijjn kujua sakata la escrow naweza sema bado vijana watakuwa wanahusika kujua zaid kuliko wtu wazma, naamin vijana tukiahilikiana tunaweza kuibadisha tzania name viongoz wake make ukiangalia saiv kuna makund to faut tofaut huko vijijn na mijin, unakuta vijana wako chama Fulani na wazee nao chao wanawake nao sehem yao,na ni kwanni?Hawaii jamaa wanashinda mda wote kwa sabab watu wazma walioweng wanna hiz kadi na vjana weng hawana kadi, vjana tuko weng sana tubadilike na tuwe wajanja tusilale,AMKENI BWANA2015
 
mmhh navojua mimi escrow ni jina lingine la ugonjwa wa tezi dume ambao mweshimiwa rais alienda kutibiwa marekani...sijui nipo sahihi?? naomba kurekebishwa wadau kama nimekosea
 
Back
Top Bottom