Je mke mmoja anatosha kweli tuweni wawazi?

Binafsi mmoja hakunitosha nikaongeza wa pili badala ya kufanya ufuska na kuwa na nyumba mdogo isiyo halali. Na muda sasa naona wawili hawatoshi, nimemuona picha, maandiko na tabasamu la Mwali, nimempenda ndani ya roho yangu. Natamani na kujaribu siwezi.
 
Last edited by a moderator:
mi nadhani kama mnatambua why mko kwenye hiyo ndoa then mke/mme mmoja anatosha..
Kama ni ngono tu ndo grounds za wewe kutoka nje then mwenzako anaeza kuja na a reasons kua una kitambi,you care less,kuna udhaifu unao that ni tatizo kwake,humtoshelezi, etc..
Kuna mkaka aliwahi sema,aliingia na mke wake labor and what he saw,anaeza kukaa 6 more months without sex cause he can never pull off what mke wake alipitia(maumivu,nguvu etc).
Sisi wote sio wakamilifu,at all..ni kuwa selfless tu ndo kunaeza kumsaidia mtu avuke hayo yote..thinking of whats more important in life,thats the best thng you can do
sharma once said,show me your schedule and i will tell you your priorities.,inaeza kuwa ngono sio priority kwako but kuna circumstances zinafanya uamini it is.
Just my thoughts
 
kuwa mume is not all about having sex only with your wife jamani.....

mie my ideal man,tutakuwa tukila tunapika na kuosha pamoja....lol

tatizo wanaume wa kiafrica,wakitoka kazini ni kwenye sofa hata homework za watoto hawaaangalii...lol

mtaacha kuwa na 'unused extra energy za kuwasumbua wake zenu/?????lol
 
kusema kweli mke mmoja anatosha ikiwa mnamaelewano mazur kati yenu,mimi niko na mke wangu miaka tisa ndani ya ndoa na uchumba tumlipiga miaka mnne,lkn kusema kweli bado anbanitosheleza sana na sijamchoka kabisa,tukimaliza gem nikatoka sebulen akikatiza mbele yangu kanga moko,naona kama sijafanya nae chochote muda mfupi uliopita,gem upya,
 
Idadi wa wanawake ni kubwa zaidi ya wanaume??

Na ni haki kila mwanamke kuependwa na kuolewa!

Sasa hao wanawake wa ziada watapendwa na nani kama kila dume atapenda tu dem moja!

Mko hapo??

Acheni ubinafsi!
 
Binafsi mmoja hakunitosha nikaongeza wa pili badala ya kufanya ufuska na kuwa na nyumba mdogo isiyo halali. Na muda sasa naona wawili hawatoshi, nimemuona picha, maandiko na tabasamu la Mwali, nimempenda ndani ya roho yangu. Natamani na kujaribu siwezi.
Kweli kabisa kabisa???
Mbona mi naona tabu kua mke wa tatu jamani?
Naomba ushahuri wa Anti yangu AshaDii hapa
 
Last edited by a moderator:
mii nahisi mijianaume ya siku hizi ina pepo la ngono kabsaa ukute ameoa afu tena ana dogodogo 99% of all men wanakuwa na substitute good , nadhani ni sababu ya kuendekeza tamaa

Ukiondoa unafiki wa dini ya kikristo ni kweli mwanamke mmoja hatoshi lakini wengi wataibuka hapa ma kusema mke mmoja anatosha wakati wana nyumba ndogo kibao na kanisani wanakwenda kila siku na waliapa kuwa mke huyohuyo mpaka kufa 98% wana nyumba ndogo na wengi wanaishi kinafiki tuwe wakweli.
 
Back
Top Bottom