Je, Mh. Rais katususia nchi?

Hivi Mnyika na elimu yake ya kubumba ulitegemea aseme nini? Nenda kwenye tovuti ya bunge hata shule alizosoma hazijaoneshwa?

Na wewe elimu ya kukariri na kukufanya kibaraka wa watawala huku mkishirikiana kuifisidi nchi imetusaidia nini? Heri Mnyika mwenye elimu ya kawaida lkn yenye faida kwa nchi yupo upande wetu, kuliko mliosoma mkamaliza madarasa na sasa mnashirikiana kubomoa nchi!
 
Inashangaza sana. Mambo makubwa anampa Salva aongee kama vile Salva ndiye mkuu wa nchi! Ni kama aliutaka urais kama fasheni bila kuwa la visheni kuwa anataka kuifanyia nini nchi!
 
Ndio mana mi nafanya yangu,
 

Mmemchagua wenyewe. Halafu 2015 mtawachagua tena. Misiba ya kujitakia haina kilio. tutavuna tulichopanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…