NTEGEYE Jr
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 322
- 286
Najaribu kuwaza haka ka kauli ka bwana Paulo kuwa 20% ndio wafanyakazi halisi wa Umma wanaofanya kazi tu, na 80% iliyobaki ndio stori na umbea tu kuwa kanaweza kuwa na nguvu kwa baba Jesca.
Maana sidhani kijana huyu ana uwezo gani wa kutamka hayo hadharani, pengine ana takwimu za utendaji wa watumishi wa Umma Nchi nzima.
Lakini maneno na tabia yake ya kuchongeana, anaweza kuwa mouthpeace ya Baba Jesca na pengine tutegemee lolote next year 2017.
Maana sidhani kijana huyu ana uwezo gani wa kutamka hayo hadharani, pengine ana takwimu za utendaji wa watumishi wa Umma Nchi nzima.
Lakini maneno na tabia yake ya kuchongeana, anaweza kuwa mouthpeace ya Baba Jesca na pengine tutegemee lolote next year 2017.