G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wana jf hofu yangu ni swala la mtu kupata makoozi tena mazito mara kwa mara! Swali langu kwani makoozi haya yanatoka wapi au yameingiliana na mfumo wa kamasi? Au kifua kimekufa hivyo kinaproduce dead cell? Kama ni tb hamna homa za usiku wala kukooa kwa presha isipokuwa ni hili swala la makoozi! Msaada wa mawazo wajumbe!