Je mfumo wa hewa una usalama hapa!

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Wana jf hofu yangu ni swala la mtu kupata makoozi tena mazito mara kwa mara! Swali langu kwani makoozi haya yanatoka wapi au yameingiliana na mfumo wa kamasi? Au kifua kimekufa hivyo kinaproduce dead cell? Kama ni tb hamna homa za usiku wala kukooa kwa presha isipokuwa ni hili swala la makoozi! Msaada wa mawazo wajumbe!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom