suranne
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 120
- 246
Ndg wana jf tunapoliangalia suala la Dr kupata kiasi hicho lazima ukumbuke ilikua vipi yeye kuchukua fomu ya Urais maana alikwenda kuchukua ya ubunge kwao ila aliporudi ndo kibao kikawa kimegeuzwa na wenzake na si yeye na wakamwekea maazimio ya nini watamtendea asipokua Rais.So mpaka hapo hakuna la kumlaumu Dr na pia kazi anayoifanya ni kubwa kuliko hao wabunge maana wanaenda mjengoni na kulala mwisho wa siku wanapokea posho.