wansawa
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 851
- 849
Soma kwa umakini swali lililo ulizwa na mdauKesi ya jinai hii utamshtaki na utamdai nani? Jamhuri ni nani?
Nitofauti na ya mvutabangi msiba
Soma kwa umakini swali lililo ulizwa na mdauKesi ya jinai hii utamshtaki na utamdai nani? Jamhuri ni nani?
Nitofauti na ya mvutabangi msiba
King ameuliza ili aelewe namna ya madai.Kesi ya jinai hii utamshtaki na utamdai nani? Jamhuri ni nani?
Nitofauti na ya mvutabangi msiba
A malicious prosecution occurs when a police officer or other government official causes criminal charges to be filed against a person when the official knows probable cause is lacking and the charges are filed because of personal animosity, bias, or some other reason outside the interests of justice...Kesi ya jinai hii utamshtaki na utamdai nani? Jamhuri ni nani?
Nitofauti na ya mvutabangi msiba
Ni za kimataifa serikali kwa serikali si raia na serikali yake.A malicious prosecution occurs when a police officer or other government official causes criminal charges to be filed against a person when the official knows probable cause is lacking and the charges are filed because of personal animosity, bias, or some other reason outside the interests of justice...
Ni nani Kakudanganya kuwa ataishinda?Hili ni swali kwenu wanasheria
Je sheria inatoa mwanya kwa Freeman Mbowe kudai fidia ya kuchafuliwa kwa kuitwa gaidi endapo mahakama itamkuta hana hatia na kumtamka kuwa ni mtu safi?
Jumaa kareem!
Subiri mahakama inamaamuzi yake na tafsiri ya ugaidi, ugaidi upo wa namna nyingi na adhabu zake. Kuachiwa huru nayo ni adhabu kwababu mahaka ndio inaamua.Ni nani Kakudanganya kuwa ataishinda?
Uwezekano wa kuchomoka ni mdogoHili ni swali kwenu wanasheria
Je sheria inatoa mwanya kwa Freeman Mbowe kudai fidia ya kuchafuliwa kwa kuitwa gaidi endapo mahakama itamkuta hana hatia na kumtamka kuwa ni mtu safi?
Jumaa kareem!
Matumizi ya akili hayakuwepo kabisa kipindi kile!Yaani Team ya uharamia ya Magufuli ilikuwa ya ajabu sana !
Mambo mawili tofauti, unafananishaje?Hili ni swali kwenu wanasheria
Je sheria inatoa mwanya kwa Freeman Mbowe kudai fidia ya kuchafuliwa kwa kuitwa gaidi endapo mahakama itamkuta hana hatia na kumtamka kuwa ni mtu safi?
Jumaa kareem!
Ukiwa upande wahaki unashinda hata ushindwapo.Ni nani Kakudanganya kuwa ataishinda?