Je, matumizi ya mafuta kwenye Toyota Crown Athlete yapoje?

Unajua madalali hawana information kamili wanajazana ujinga kwa hearsays za vijiweni kisha wanawasokota sana wanunuzi hahah utaskia inakula mafuta sana hio chukua yenye 4 cylinder. Kumbe hawajui kinachobwia mafuta sio idadi ya Cylinder ni ukubwa wa cylinder. Zinaweza zikawa 4 ila ni mizinga ya cylinder

Ukiwa sio mjanja wanakutia mkenge!
kuna jamaa yangu mmoja aliipost Prado eti injini ni 1hz dah ikabidi nimshtue arekebishe.
 
Izo cc :

1290

1490

2300

Na izo 1.4 ama 1.5L

Zina maana gani?
Zina maanisha ukubwa wa Engine yani displacement!

Displacement inapimwa kwa cubic capacity (cc) ikiwa ni ujazo (volume) ya kila cylinder!

Ikumbukwe volume ya cylinder inapimwa katika Cubic Centimetres na piston huwa ndio zinadumbukia kwenye cylinder. Piston ikidumbukia kwenye cylinder (downthrust) nafasi inayoacha kwa ajili ya combustion yani mchanganyiko wa hewa na mafuta ndio inatengeneza hizo cc.

Ukiambiwa 1290cc maana yake kwa gari yenye piston 4 utagawa hizo cc kwa 4 ili upate hesabu ya kila cylinder ikiwa na piston ina ujazo wa kiasi gani. Mfano kwa hio engine itakuwa 1290/4 = 322.5

322.5cc ndio ujazo wa kila piston kwenye cylinder. Ina maana mafuta na hewa yenye ujazo wa 322.5cc yanaweza kuchomwa kwa mara moja.

Kadri engine inavyokuwa na CC kubwa ndio ambavyo uzalishaji wake wa nguvu unavyokuwa mkubwa. Ukubwa wa CC ni direct proportional na ukubwa wa piston na cylinder!

Mfano rahisi wa hichi nachokuelezea.
Bomba la sindano ya hospitali lina 5cc, hizi cc unaweza kuzipata pale ambapo utavuta ule mpira mweusi kwa juu kipindi unachotaka kunyonya dawa toka kwenye chupa. Nafasi iliopo baina ya ule mpira mweusi na mwanzo wa tip ya sindano ndio CC za hilo bomba.

Kwenye gari mfumo upo namna hio hio kunakuwa na piston na cylinder. Piston ikijivuta chini inaacha nafasi kwenye cylinder hio nafasi ndio inapima cc.

Kama hujaelewa na hapo tafta mganga ndugu yangu! Utakuwa umelogwa.
 
Mm watu nawashangaa sana aisee. Unataka kari kubwa halafu unakipato cha wasiwasi. Mm mnicheke sijui mnione maskini ama mjinga sijui. Gari yangu Passo 900cc hii huwa sijiulizi nakula misele ninavotaka, nazunguka nayo mikoa mingi tu na root nyingi ni za mwanza dar na mwanza moro na haijawahiniangusha, wanasema zinachemsha sijui, uongo mtupu maana mm huwa nikiiwasha saa 12 asubuhi naizima saa sita usiku dar na haijawahi iunilaza njiani, na hii nliyonayo ni ya 2 kununua
Nataka ni upgrade kwenye rumion.
Mm kamwe sinunui sira kwenye gari, kipa umbele changu ni fuel consuption, na upatikanaji wa spea. Nimeambiwa na mafundi rumion ina engine ya IST which I know IST ni gari ya siku mingi na ina spea mpaka bas
 
Mm watu nawashangaa sana aisee. Unataka kari kubwa halafu unakipato cha wasiwasi. Mm mnicheke sijui mnione maskini ama mjinga sijui. Gari yangu Passo 900cc hii huwa sijiulizi nakula misele ninavotaka, nazunguka nayo mikoa mingi tu na root nyingi ni za mwanza dar na mwanza moro na haijawahiniangusha, wanasema zinachemsha sijui, uongo mtupu maana mm huwa nikiiwasha saa 12 asubuhi naizima saa sita usiku dar na haijawahi iunilaza njiani, na hii nliyonayo ni ya 2 kununua
Nataka ni upgrade kwenye rumion.
Mm kamwe sinunui sira kwenye gari, kipa umbele changu ni fuel consuption, na upatikanaji wa spea. Nimeambiwa na mafundi rumion ina engine ya IST which I know IST ni gari ya siku mingi na ina spea mpaka bas
Rumion ina engine ya corolla, IST Allex na Raum ndio zina same engine
 
Izo cc :

1290

1490

2300

Na izo 1.4 ama 1.5L

Zina maana gani?
labda ulitaka kwa mahesabu ya karibu ulipoweka hiyo 1.5L
1290 = 1.3
1490 = 1.5
2360 = 2.4
2990 = 3.0
Ila sina uhakika na zile gari zenye series zinazoonyeshwa pale nyuma kwenye Harrier mfano cc 2360 wanasema 240G au zinazofuata za 2990 kupewa 300, 330, 400 ngoja Wataalam wetu wadadavue au nikiingia Google au wikipedia
 
Zina maanisha ukubwa wa Engine yani displacement!

Displacement inapimwa kwa cubic capacity (cc) ikiwa ni ujazo (volume) ya kila cylinder!

Ikumbukwe volume ya cylinder inapimwa katika Cubic Centimetres na piston huwa ndio zinadumbukia kwenye cylinder. Piston ikidumbukia kwenye cylinder (downthrust) nafasi inayoacha kwa ajili ya combustion yani mchanganyiko wa hewa na mafuta ndio inatengeneza hizo cc.

Ukiambiwa 1290cc maana yake kwa gari yenye piston 4 utagawa hizo cc kwa 4 ili upate hesabu ya kila cylinder ikiwa na piston ina ujazo wa kiasi gani. Mfano kwa hio engine itakuwa 1290/4 = 322.5

322.5cc ndio ujazo wa kila piston kwenye cylinder. Ina maana mafuta na hewa yenye ujazo wa 322.5cc yanaweza kuchomwa kwa mara moja.

Kadri engine inavyokuwa na CC kubwa ndio ambavyo uzalishaji wake wa nguvu unavyokuwa mkubwa. Ukubwa wa CC ni direct proportional na ukubwa wa piston na cylinder!

Mfano rahisi wa hichi nachokuelezea.
Bomba la sindano ya hospitali lina 5cc, hizi cc unaweza kuzipata pale ambapo utavuta ule mpira mweusi kwa juu kipindi unachotaka kunyonya dawa toka kwenye chupa. Nafasi iliopo baina ya ule mpira mweusi na mwanzo wa tip ya sindano ndio CC za hilo bomba.

Kwenye gari mfumo upo namna hio hio kunakuwa na piston na cylinder. Piston ikijivuta chini inaacha nafasi kwenye cylinder hio nafasi ndio inapima cc.

Kama hujaelewa na hapo tafta mganga ndugu yangu! Utakuwa umelogwa.

Asante na ka ist 1290 kana nipa raha sanaaa ndo mana Asante
 
Back
Top Bottom