Je, matumizi ya mafuta kwenye Toyota Crown Athlete yapoje?

Ndo hicho kinafanya niipende Mazda. Nilikua na Mazda Axela Sports cc 1490 ya mwaka 2006. Aisee power yake ilikua kubwa mno. Nlitoka axela nikachukua rx8. Axela mpaka sasa imenipa experience nzuri zaid
Umechanganya mafile mazda axela. Haitumii rotary engine inatumia engine za kawaida zenye piston ... Sio gari zote za mazda zinatumia rotary engine ni matoleo mawili tu rx7 na rx 8

sent from HUAWEI
 
Kuna 3S-GE hio ipo kwenye Altezza RS200 Z - Edition hio hua ni manual nadhani ndo 220 HP ila nadhani hio 3S-GTE ipo kwenye Celica
3sge in stock mwisho ni 207 hp ikiwa manual na Automaic ni 197hp, wewe unazungumzia 2jzge kwenye is300 ndio ina 220hp
 
kuna mtu nimeona anapost fb kuwa watu wana imani mbaya na hili gari & kuwa halili mafuta kama inavyodaiwa bali ni kawaida sana..
sasa sijui analipamba sababu amekuwa analitangaza la kwake tangu january & bado hajapata mnunuzi
Uchumi ukiwa vizuri huwezi kuona mafuta ni tatizo kwako ukizingatia gari unalipenda.
Malalamiko yanatokana na mfuko kutokuwa vzr.
 
Wewe unajua mkuu, elimu inahitajika hapa,nitakutafuta unipe mbinu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…