Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Tumeshuhudia awamu ya tano ikipeleka mahakamani watu wengi kwa mashtaka ya money laundry kwa vile tuu wanafanya matumizi makubwa eitha kwa kununua majengo, viwanja, magari na hata kutoa misaada ya fedha.
Yote hayo ni kutokana na kuonekana yanazidi vipato vyao halali.
Bwana Makonda, ambaye katika utumishi wa umma bado ni Junior sana ameonekana akitumia mamilioni ya pesa kwa mambo mbali mbali ambayo yanaonyesha ni tofauti na kipato chake halali kwa utumishi wake.
Pia hakuna ajuaye anafanya biashara gani rasmi inayofahamika officially katika kabrasha la kumbukumbu zake.
Je, tetesi kuwa vita ya madawa ya kulevya aliitumia kujinganisha nao ili awe mshirika wa 10%? Na Yale maneno kuwa anatisha wafanya biashara wenye asili ya kiarabu na kihindi wampe pesa asiwashughulikie yaweza kuwa kweli?
Watumishi wa ngazi za juu Luna fomu wanajaza za Mali na madeni jee utajiri huu wa kugawa mapesa unaonekana kwenye vitabu vya Kamishna wa maadili?
Tupate ukweli na isiwe hiyo sheria ya money laundry inatumika kukomoa na kuchagua nani imnyanyase na nani kwa vile ni "mtoto" wa mzee baba basi yeye hayamuhusu.
Yote hayo ni kutokana na kuonekana yanazidi vipato vyao halali.
Bwana Makonda, ambaye katika utumishi wa umma bado ni Junior sana ameonekana akitumia mamilioni ya pesa kwa mambo mbali mbali ambayo yanaonyesha ni tofauti na kipato chake halali kwa utumishi wake.
Pia hakuna ajuaye anafanya biashara gani rasmi inayofahamika officially katika kabrasha la kumbukumbu zake.
Je, tetesi kuwa vita ya madawa ya kulevya aliitumia kujinganisha nao ili awe mshirika wa 10%? Na Yale maneno kuwa anatisha wafanya biashara wenye asili ya kiarabu na kihindi wampe pesa asiwashughulikie yaweza kuwa kweli?
Watumishi wa ngazi za juu Luna fomu wanajaza za Mali na madeni jee utajiri huu wa kugawa mapesa unaonekana kwenye vitabu vya Kamishna wa maadili?
Tupate ukweli na isiwe hiyo sheria ya money laundry inatumika kukomoa na kuchagua nani imnyanyase na nani kwa vile ni "mtoto" wa mzee baba basi yeye hayamuhusu.