kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 813
Hiyo uliyokuwa nayo ni Liability.Mimi binafsi nina umri mkubwa miaka 30 umri wangu nikiwaona vijana wenzangu wengi wapo chini ya umri wangu na wengine wameshatoboa mimi ninachomiliki ni simu yangu smartphone tu sina assets yoyote kama kiwanja.Umri unaenda moja haikai wala mbili umri unaenda.
Nachoshukuru mwenyezi Mungu nina afya njema.
Hebu andika mafanikio yako na umri wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanja sio assetwameshatoboa sina assets yoyote kama kiwanja
Liability- hakiingizi faida
sawa Robert KiyosakiLiability- hakiingizi faida
Assets- Inaingiza faida
Mfano GARI
Liability ;- gari yako binafsi, ni liability kwa sababu haikuingizii pesa sana sana itakutoa pesa mfukoni ya mafuta, mtengenezo ya hapa napa pale,,
Assets;- gari kama unaitumia kibiashara hiyo ni assets kwa sababu inakuingizia kipato iwe kwa siku ama kwa wiki,, daladala, bus, nk
Nyumba; kama unakaa mwenyewe tu hupangishi hiyo ni liability
Nyumba; hiyohiyo kama umeipangisha na inakuingiza pesa basi ni assets
Sent using Jamii Forums mobile app
what is that
Typing error .. ni hahaa dah