Je, kwanini wanawake wenye makalio makubwa wanaringa?

Je, kwanini wanawake wenye makalio makubwa wanaringa?

jelly bean

Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
11
Reaction score
15
Nimefanya kautafiti kadogo nimegundua kua wanawake wenye makalio makubwa wanaringa sana hata kama ni mbaya usoni lakini nyuma amejaliwa anakua anajisikia sana tofauti na wembamba je hii inatokana na nini?

Naomba experience zenu wana JF
 
kwasababu kila wakipita wanasifiwa makalio utasikia "una ta...ko nzuri jamani""
 
Wanafahamu kuwa "SEX IS NOT GOOD IN BONES"
Halafu mkuu kwani wewe unalalia kagodoro kembamba ama lile godoro nene? Ukilalia kagodoro kembamba utaumia sana mbavu aisee!
 
Hizi maada za kimvua mvua, okay labada kwasababu urembo wao upo kwenye makalio na sio usoni
 
Uzuri wa nyumba choo. Pengine ni sbb za kiutamaduni maana sisi waafrika unene kwa kiasi fulani "hu-add value". Ndio maana watu wanaamua kuchoma sindano na kuliumua kwa poda.
 
kwasababu wanacho cha kuringia, unazan kumiliki mzigo mchezo?
 
kwa sababu kuitwa kwao na kuangaliwa ni kwaida tofauti na flat screen

pia ile milio ya psi psi haipungui ,......... ooh dada huko nyuma unaniua....

dada dadaaaaa milizu ya kila aina
 
Back
Top Bottom