Ahamadia
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 529
- 361
Hahaha ha gumbo sna niuonevu mkubwa uto amefanyiwaNimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......
Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao
Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.
Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?
View attachment 2939896