Ethan hunt
Member
- Feb 6, 2021
- 20
- 8
Salaam jukwaa,
Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.
Nawasilisha.
Nimefaulu division3 kwa KemiaD, Biologia C, English C, B/mathD, Fizikia F na mingine yaliyo bakia nimepass naweza kupata nafasi Muhimbili(MUHAS) kuanzia ngazi ya cheti na kuunganisha diploma kwa kozi ya famasia na ada ni shingapi bila kulala.
Nawasilisha.