japanese
Member
- Jul 28, 2015
- 13
- 16
Wakati akiwa Kigoma mgombea urais wa CCM bwana Magufuli, aliyekuwa akimnadi mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi bwana Bulembo alidai CCM haiwezi kuiachia ikulu na alipokuwa Chato, mwenyekiti wa mkoa bwana Msukuma alimdhihaki mgombea wa UKAWA eti alijinyea na Leo hapa Geita wanadai Lowassa kaleta makomandoo tokea Israeli ili waje kuharibu uchaguzi nafikiri mgombea wa CCM ameishiwa hoja za kuwaeleza wananchi ndio maana zinatolewa nafasi kwa kila kwenye la kusema aseme ili muda uende.
Naona CCM hawana hoja za kuwaambia wananchi kwa nini waendelee kuwaamini na mbadala wake ni kuwapa jukwaa watu kama Bulembo, Msukuma, Lusinde, Origino komedi, wakaa uchi kama akina Wema ili wakitetee chama mbele ya watanzania waliochoka na siasa rahisi na zisizotatua matatizo yao.
Naona CCM hawana hoja za kuwaambia wananchi kwa nini waendelee kuwaamini na mbadala wake ni kuwapa jukwaa watu kama Bulembo, Msukuma, Lusinde, Origino komedi, wakaa uchi kama akina Wema ili wakitetee chama mbele ya watanzania waliochoka na siasa rahisi na zisizotatua matatizo yao.