grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
kumbe vyombo vya habari vinafunika matusi ya Pombe?!
Yote yana mwisho mkuu
kumbe vyombo vya habari vinafunika matusi ya Pombe?!
Amini Hakika nakwambia, Lowasa ALIJINYEA!
Mtu hushawishiwa ili akupigie kura na sio kuwatukana. Ugomvi wa watanzania walio wengi sio Lowasa ni ccm! Nadhani hamjatambua adui yenu mpaka sasa ni nani. Endeleeni kutukana tu mtakipata mnachokitafuta.
Hivi kama kweli alijinyea tusi hapo liko wapi? Kama ni uongo bisha, siyo kujitetea eti ametukanwa
Wakati akiwa Kigoma mgombea urais wa CCM bwana Magufuli, aliyekuwa akimnadi mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi bwana Bulembo alidai CCM haiwezi kuiachia ikulu na alipokuwa Chato, mwenyekiti wa mkoa bwana Msukuma alimdhihaki mgombea wa UKAWA eti alijinyea na Leo hapa Geita wanadai Lowassa kaleta makomandoo tokea Israeli ili waje kuharibu uchaguzi nafikiri mgombea wa CCM ameishiwa hoja za kuwaeleza wananchi ndio maana zinatolewa nafasi kwa kila kwenye la kusema aseme ili muda uende.
Naona CCM hawana hoja za kuwaambia wananchi kwa nini waendelee kuwaamini na mbadala wake ni kuwapa jukwaa watu kama Bulembo, Msukuma, Lusinde, Origino komedi, wakaa uchi kama akina Wema ili wakitetee chama mbele ya watanzania waliochoka na siasa rahisi na zisizotatua matatizo yao.
Amini Hakika nakwambia, Lowasa ALIJINYEA!
Mtu hushawishiwa ili akupigie kura na sio kuwatukana. Ugomvi wa watanzania walio wengi sio Lowasa ni ccm! Nadhani hamjatambua adui yenu mpaka sasa ni nani. Endeleeni kutukana tu mtakipata mnachokitafuta.
Amini Hakika nakwambia, Lowasa ALIJINYEA!
Amini Hakika nakwambia, Lowasa ALIJINYEA!