Username 20
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 741
- 1,513
Toka naanza kufuatilia siasa miaka ile CCM wamekuwa wanatutisha kuwa tukichagua upinzani kutatokea machafuko
Kuwa wao CCM ndo wanaoilinda amani ya nchi hii, upinzani hawawezi kuilinda aman, lkn hapa katikati kuanzia kwa Jakaya mwishoni kumekuwa na matukio kadhaa ya watu kuuliwa na kupotea mfano tukio la kuuliwa kwa Alphonce Mawazo kule Geita (mwenyekiti wa CHADEMA), kupigwa risasi kwa Lissu, mauaji ya Akwelina na mengine mengi CCM waje watuambie nani kahusika kama ni hao wapinzani basi waweke ushahidi na wawashugulikie
Kwa haraka haraka ukiangalia ni kama CCM ndo chanzo cha machafuko, kuna ajenda ipo mda huu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA familia yake ipo nje
Wana CCM wanasema kuwa kikinuka atakimbia maana familia yake ipo nje, swali kwa wana CCM kwanza kwanini kinuke na ni nani wa kukinukisha
CCM, CHADEMA na hivyo vyama vingine wote wanataka usawa madai ya CHADEMA ni tume huru ya uchaguzi l, tume ambayo haitapendelea chama fulani kwann CCM hawataki, kwanini waendelee kulazimisha hii ya sasa hivi wakati ni kweli imeonesha mapungufu makubwa? Je ni kosa watu kudai tume huru?
So tuendelee kuamini kuwa wapinzani ndo wanataka kukinukisha ama ni hawa ambao hawataki usawa, kumbuka kuwa usawa ndo unazaa amani sasa kama hawa waliopo mda huu hawataki usawa je wanaitaka amani kwel?
Kuwa wao CCM ndo wanaoilinda amani ya nchi hii, upinzani hawawezi kuilinda aman, lkn hapa katikati kuanzia kwa Jakaya mwishoni kumekuwa na matukio kadhaa ya watu kuuliwa na kupotea mfano tukio la kuuliwa kwa Alphonce Mawazo kule Geita (mwenyekiti wa CHADEMA), kupigwa risasi kwa Lissu, mauaji ya Akwelina na mengine mengi CCM waje watuambie nani kahusika kama ni hao wapinzani basi waweke ushahidi na wawashugulikie
Kwa haraka haraka ukiangalia ni kama CCM ndo chanzo cha machafuko, kuna ajenda ipo mda huu kuwa mwenyekiti wa CHADEMA familia yake ipo nje
Wana CCM wanasema kuwa kikinuka atakimbia maana familia yake ipo nje, swali kwa wana CCM kwanza kwanini kinuke na ni nani wa kukinukisha
CCM, CHADEMA na hivyo vyama vingine wote wanataka usawa madai ya CHADEMA ni tume huru ya uchaguzi l, tume ambayo haitapendelea chama fulani kwann CCM hawataki, kwanini waendelee kulazimisha hii ya sasa hivi wakati ni kweli imeonesha mapungufu makubwa? Je ni kosa watu kudai tume huru?
So tuendelee kuamini kuwa wapinzani ndo wanataka kukinukisha ama ni hawa ambao hawataki usawa, kumbuka kuwa usawa ndo unazaa amani sasa kama hawa waliopo mda huu hawataki usawa je wanaitaka amani kwel?