Je, kuzuia ACACIA kufanya kazi ndio suluhisho katika jambo hili?

SHADOWANGEL

JF-Expert Member
Sep 15, 2014
528
349
Katika mambo ya haraka haraka ambayo niliwaza no Serikali kutokwamisha shughuri zote za kazi katika sekta ya Madini kwa kuteua watumishi Wa Tra kukusanya kodi kwa sasa baada ya TMAA kusimamishwa na wala sio kusimamisha shughuri ambazo wanaunufaika ni watanzania pia katika maisha ya kila Siku.

Ni tumaini langu kwamba Serikali italiangalia ili swala kwa pande mbili uku wakati ambao shughuri za kawaida zinaendelea katika aya makampuni.

Pamoja tunaweza kwa kuamua kwa kufikiri sio kiongozi kutoa tu tamko kuwa shughuri zisimamishwe kwani swala ili ni kubwa na linaitaji hekima na kuwe na MTU Mmoja ambaye anatoa mwongozo na sio kila kiongozi kusema mradi amfuraishe Raisi.
 
Mi sijui maana kichwa cha habari kuna neno sijalielewa, SURUISHO, Mkuu hapo weka SULUHU au SULUHISHO
 
Sijui mnalipwa shiling ngapi yani kunatatizo kubwa sana la WATANGANYIKA ktk mifumo yao ya UFAHAMU na UZALENDO
 
Wewe mfanyakazi wako wa nyumbani ukigundua kuwa anakuibia...utamwacha aendelee na kazi ya kukuibia kwanza au utamsimamisha kutafuta njia ya kumdhibiti? Hebu twambie mkuu...
 
Wewe mfanyakazi wako wa nyumbani ukigundua kuwa anakuibia...utamwacha aendelee na kazi ya kukuibia kwanza au utamsimamisha kutafuta njia ya kumdhibiti? Hebu twambie mkuu...
(Mfano) Kama ni muziki huu ni mpambano kati ya Asha Mashauzi na Dr. Dre
 
Hawa watu sio waaminifu.. Hawawezi kuachwa wafanye kazi peke yao bila usimamizi wa TMAA.. Watatupiga zaidi.
 
Back
Top Bottom