kupata mimba kwa bahati mbaya ipo kutokana na uwelewa mdogo wa msichana, rafiki yangu amepata mimba mwanaume alimdanganya kama amemepa dawa za kuzuia mimba na kutokana na uelewa mdogo wa huyo rafiki yangu alikubali na sasa ana mimba, kwa case kama hii utasemaje?Hakuna bahati mbaya duniani, unapo vua chupi na kukutana na mwenzio tegemea mambo haya mimba/ gonjwa la zinaa ukipata ndo useme bahati mbaya?
kutokana na maneno yako idadi ya watoa mimba itaongezeka ili mhusika asionekane kuwa ni mwasherati, mzinifu na malaya.Ni u.a.s.h.e.r.a.t.i na Uzinifu hapo unazaa kabla ya ndoa ili iweje? Kama sio umalaya? Shwaini...!!! Alafu unaita Kutest? Unatest nini mzinzi tu we Oa
kupata mimba kwa bahati mbaya ipo kutokana na uwelewa mdogo wa msichana, rafiki yangu amepata mimba mwanaume alimdanganya kama amemepa dawa za kuzuia mimba na kutokana na uelewa mdogo wa huyo rafiki yangu alikubali na sasa ana mimba, kwa case kama hii utasemaje?
Takwimu simmezisikia nusu ya wanaume ni wagumba ni vizuri ukatest usije ukajuta huko mbele.Kitu mimba biashara nyingine baade.
kama ulikuwa mawazoni mwangu!
Nyakwaratony una mtoto? ilikuwaje naomba niambie..
.Husababishwa na tamaa, uhuni na u.m.a.l.a.y.a labda iwe kuwa uliolewa ukaachwa au mumeo kufa...
hahaaaaaa umeona eeeh. mi kuna rafiki zangu wengi tu nina mifano yao. hawana watoto mpk sasa ila wamezichomoa kama hawana akili nzur nao pia wanatamba kuwa ni mabinti lol......... na kuna wale ndugu zetu wa upande mwingine ye kutwa kucha ni biashara ila hata cku moja hujawahi sikia kuwa ana mtoto ila kuchomoa ni kawaida kama kunywa maji!Sikujuwa alizaa kabla ya kuolewa lakini Chausiku dada yake hadi anaolewa alikuwa hajawahi kuzaa ila ametoa mimba 4,napo nani malaya,nani muasherati?
Ni u.a.s.h.e.r.a.t.i na Uzinifu hapo unazaa kabla ya ndoa ili iweje? Kama sio umalaya? Shwaini...!!! Alafu unaita Kutest? Unatest nini mzinzi tu we Oa