Ulichoeleza mkuu ni sawa kabisa lakini COVID-19 imeonyesha kuwa ni virus ambaye hawezi kumsumbua mtu mwenye kinga (immune) nzuri ndiyo maana asilimia kubwa waonakufa na virus huyu ama wanakinga dhaifu au wana mangonjwa mengine yanayoshambua mfumo wa kupumua. Hivyo bado COVID-19 utathibitiwa kirasi sana karibuni ndiyo maana hata majaribio ya chanjo yameanza mapema sana.magu2016,
Shida ni kwamba haijulikani kama waliopona wanakuwa protected kupata reinfection. Na kama wanakuwa protected haijulikani ni kwa muda gani. Na ni kiasi gani cha antibodies kinatakiwa Kiwe cut-off points kuonyesha huyu mtu yupo protected. Kuna Virusi wengine wa Corona( sio Covid-19) mtu akipata maambukizi anadevelop Kinga ya miezi sita na wengine hadi miezi 18, kutegemeana na aina ya kirusi.
Tatizo la virusi huwa ni kubadilika badilika kwao. US huwa wanatoa chanjo ya flu ( influenza virus), lakini wanachotarget zaidi ni kuzuia severity tu ya ugonjwa na sio kukinga. Ukiangalia uwezo wa vaccine hiyo kukukinga na flu ni chini ya 50%
Kwa hiyo Safari bado ni ndefu sana
Sent using Jamii Forums mobile app