Ndg zangu, naomba kuuliza; je inawezekana mtu aliyehitimu Shahada (mfano Acquatic Sciences), na aliyekuwa anasomeshwa na serikali, kusajiliwa na kurudia shahada nyingine (mfano Medical Laboratory) na akaendelea kulipiwa ada, 'boom' pamoja na gharama nyingine hapa Tanzania?