Mtiririko wa kauli zake mara tu alipoapishwa na za baada ya siku 100 utawalani, zimeshatuonyesha aina ya raisi wetu mpendwa alivyo. Mahojiano yake na BBC juzi yameonyesha pia umahiri wake katika upitiaji wake wa masuala ya sheria na katiba aliyoapa kuilinda na kuitekeleza, ahukumiwe kwa hayo.
Alisema pia, Mbowe alipoona katenda jinai, alikimbilia NBI lakini alipoona mambo yamekuwa moto, katafta sababu ili yatakapompata hayo yanayompata, apate visingzio na huruma...nk. Kuna wengne wameanza kuwahusisha Lema na Lissu ktk jinai hiyo pia.
Ukimsikliza IGP akizngmza na kuwaonya watu wasizungmzie suala lililopo mahakamani ndo utapoelewa kuwa sheria inamhusu nani na nani haimhusu. Kwamba yeye anaposisitiza kuwa wanao ushahidi, yeye hainglii chochote. Na anapoonya wengne, yeye ni mahakama tayari anayo hiyo haki. Anawaonya wengine kama vile yeye ndo sheria yenyewe.
Ikiwa hayo yameanza kuonekana mapema hivi, Rais kaonyesha anachokitegmea, kwamba Mbowe alishakimblia nchi jirani na IGP tayari anao ushahidi...nk ni suala la kuomba Mungu jambo hilo lishughulikiwe na mahakimu wacha Mungu. Je, wako wangapi?
Na ikiwa tu kuhudhuria mahakamani kuisikiliza kuna mashrti kiasi hicho, je kuionyesha mubashara...? Nakwambia, pamoja ingependeza, si rahisi. Ngoja uone
Ahaaaa, naona unaleta hasira za kupoteza mtaji ulioekeza kwenye ucahaguzi.Majizi ya kura hayawezi kuthubutu kuonyesha kesi ya kubumba.
Je, Sheria za Tanzania hasa za Vyombo vya Habari zinaruhusu Court Proceedings kuwa Televised live na Local Media zetu achilia mbali zile za Kimataifa?Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.
Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.
Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.
Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.
Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Hakuna mwanadamu mtukufu acha kumdharau Mwenyezi MunguKufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.
Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.
Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.
Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.
Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Hakuna mwanadamu mtukufu acha kumdharau Mwenyezi Mungu
Je, Sheria za Tanzania hasa za Vyombo vya Habari zinaruhusu Court Proceedings kuwa Televised live na Local Media zetu achilia mbali zile za Kimataifa?
Unaonaje ukienda Kuishi kwenye moja ya nchi za hawa Watajwa hapa na ukatuachia tu Tanzania yetu Ndugu?Kesi zenye kuwa na tashwishi za dhuluma hasa kutokea kwenye watu tuliowapa dhamana kama hivi ni halali ki sheria kwa wadau wote kuhusishwa.
Huo ndiyo ulio msingi wa kesi zote zenye maslahi na wengi. Mfano:
1. Oscar Pistorius
2. O.J. Simpson
3. George Floyd
Na za namna hiyo.
Madai ya katiba mpya kugeuka ni ugaidi inahitaji degree
Tanzania hii hii ya CCM nayoijua mimi? labla yehova awe karudi aisee.
Unaonaje ukienda Kuishi kwenye moja ya nchi za hawa Watajwa hapa na ukatuachia tu Tanzania yetu Ndugu?
Upinzani kuongoza Tanzania mwiko.Unaonaje wewe ukienda hata Burundi tu ukatuachia nchi yetu na mema haya tunayoyataka tukiyapigania yawepo hapa:
View attachment 1888448
sisi na waasisi wetu?
Upinzani kuongoza Tanzania mwiko.
Mambo mengine yanachekesha hadi yanatia kinyaa. Promotion inapendeza ktk biashara. Kwingine ni vichekesho... au nasema uongo ndg zng?
Mambo mengine yanachekesha hadi yanatia kinyaa. Promotion inapendeza ktk biashara. Kwingine ni vichekesho... au nasema uongo ndg zng?
Unapojitokeza kwenye vyombo vya habari kuwasilisha jambo unaloamini lina impact kwa walengwa, unakuwa na lengo flani, kwa mfano watu waone na kuamini kuwa mnayoyafanya hayana makosa. Yaani wewe uko sawa au mambo yenu yako sawa siku zote . Hiyo ndo promotion
Vipi huyo farasi alisimama wima au alipiga mateke?Sisi tuna deni na farasi mwenyewe. Kasema vyombo vya habari vina uhuru kamili.
Ijumaa tutakuwa "live" kutokea Kisutu.
Habari ndiyo hiyo.
Vipi huyo farasi alisimama wima au alipiga mateke?