Je, Kuna uwezekano wa Kesi ya Mbowe kuoneshwa Mubashara kwenye runinga?

Mtiririko wa kauli zake mara tu alipoapishwa na za baada ya siku 100 utawalani, zimeshatuonyesha aina ya raisi wetu mpendwa alivyo. Mahojiano yake na BBC juzi yameonyesha pia umahiri wake katika upitiaji wake wa masuala ya sheria na katiba aliyoapa kuilinda na kuitekeleza, ahukumiwe kwa hayo.

Alisema pia, Mbowe alipoona katenda jinai, alikimbilia NBI lakini alipoona mambo yamekuwa moto, katafta sababu ili yatakapompata hayo yanayompata, apate visingzio na huruma...nk. Kuna wengne wameanza kuwahusisha Lema na Lissu ktk jinai hiyo pia.

Ukimsikliza IGP akizngmza na kuwaonya watu wasizungmzie suala lililopo mahakamani ndo utapoelewa kuwa sheria inamhusu nani na nani haimhusu. Kwamba yeye anaposisitiza kuwa wanao ushahidi, yeye hainglii chochote. Na anapoonya wengne, yeye ni mahakama tayari anayo hiyo haki. Anawaonya wengine kama vile yeye ndo sheria yenyewe.

Ikiwa hayo yameanza kuonekana mapema hivi, Rais kaonyesha anachokitegmea, kwamba Mbowe alishakimblia nchi jirani na IGP tayari anao ushahidi...nk ni suala la kuomba Mungu jambo hilo lishughulikiwe na mahakimu wacha Mungu. Je, wako wangapi?
Na ikiwa tu kuhudhuria mahakamani kuisikiliza kuna mashrti kiasi hicho, je kuionyesha mubashara...? Nakwambia, pamoja ingependeza, si rahisi. Ngoja uone

Haipo siri ndani ya nchi kuwa baada ya siku 100 za mwanzo alibadilika:

Baada ya siku 100: Tunapoachana kwenye Mataa na Rais Samia

Ndani ya siku 100 sifa alivuna ndani na nje ya nchi.

Alipo sasa anataka kuendelea kuvuna za nje akiita rebranding akiamini ndani hakuhitaji tena.

Tuweke rekodi sahihi kwa kuzipima kauli zake kwa vitendo mbele ya macho ya dunia. Hata dhahabu hupimwa kwa moto.

Kwa kauli yake: "umesikia kuna vyombo vya habari vinalalamika kuhusu uhuru?"


Ijumaa tuko live kutokea Kisutu.
 
Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.

Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.

Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.

Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.

Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Je, Sheria za Tanzania hasa za Vyombo vya Habari zinaruhusu Court Proceedings kuwa Televised live na Local Media zetu achilia mbali zile za Kimataifa?
 
Kufuatia mahojiano ya Mtukufu Rais Samia na BBC, ameweka wazi kuwa vyombo vya habari viko na uhuru wao kamili.

Mtukufu Rais amekwenda mbele zaidi akisema kesi ya Mh. Mbowe ni nafasi nzuri kwa mahakama zetu, kuionyesha dunia kuwa haki inatendeka.

Kwa rejea mbili hizi ni wazi kuwa Mtukufu Rais na wasaidizi wake hawana tatizo na mashuhuda kufika mahakamani, ikiwamo kuonyeshwa mubashara kwenye Runinga kwa yanayojiri.

Vyombo vya habari fursa hiyo kwenye shauri hili lenye maslahi makubwa na wengi.

Kwa hakika inapendeza sana maneno yanapoambatana na vitendo ili kuweza kuivunja mifupa iliyomshinda mzee fisi hapo awali.
Hakuna mwanadamu mtukufu acha kumdharau Mwenyezi Mungu
 
Hakuna mwanadamu mtukufu acha kumdharau Mwenyezi Mungu

Hiyo ni lugha rasmi na hasa akiwa kajinasibu mwenyewe kutendea waja wa mola haki akiwamo Mh. Mbowe.

Kama ilivyokuwa kwa jiwe neno hilo limetumika hapa si kwa ajali.
 
Je, Sheria za Tanzania hasa za Vyombo vya Habari zinaruhusu Court Proceedings kuwa Televised live na Local Media zetu achilia mbali zile za Kimataifa?

Kesi zenye kuwa na tashwishi za dhuluma hasa kutokea kwenye watu tuliowapa dhamana kama hivi ni halali ki sheria kwa wadau wote kuhusishwa.

Huo ndiyo ulio msingi wa kesi zote zenye maslahi na wengi. Mfano:

1. Oscar Pistorius
2. O.J. Simpson
3. George Floyd

Na za namna hiyo.
 
Kesi zenye kuwa na tashwishi za dhuluma hasa kutokea kwenye watu tuliowapa dhamana kama hivi ni halali ki sheria kwa wadau wote kuhusishwa.

Huo ndiyo ulio msingi wa kesi zote zenye maslahi na wengi. Mfano:

1. Oscar Pistorius
2. O.J. Simpson
3. George Floyd

Na za namna hiyo.
Unaonaje ukienda Kuishi kwenye moja ya nchi za hawa Watajwa hapa na ukatuachia tu Tanzania yetu Ndugu?
 
Madai ya katiba mpya kugeuka ni ugaidi inahitaji degree

Vyombo vya habari ni huru:

IMG_20210811_155142_046.jpg


Tulitumie dirisha hili.
 
Unaonaje ukienda Kuishi kwenye moja ya nchi za hawa Watajwa hapa na ukatuachia tu Tanzania yetu Ndugu?

Unaonaje wewe ukienda hata Burundi tu ukatuachia nchi yetu?

IMG_20210707_084839_278.jpg


Mema haya tumekuwa tukiyapigania siku zote yawepo hapa, sisi na waasisi wetu.

Mola atupe nini Mtukufu Rais naye ndiye huyo kwa maneno karuhusu uhuru kamili wa vyombo vya habari. Wewe wakereka? Kwani una nini cha kuficha ambacho SSH hana?!

Tutakuwa live Kisutu ijumaa.
 
Upinzani kuongoza Tanzania mwiko.

Kwani hayo uliyoyaandika unayasoma wapi kwenye hii mada?

IMG_20210811_155142_046.jpg


Mada ni uhuru wa vyombo vya habari.

Gazeti la uhuru (leo) hapo juu ni kwa uthibitisho zaidi.

Hutaki, mpaka na Burundi uko wazi.
 
Mambo mengine yanachekesha hadi yanatia kinyaa. Promotion inapendeza ktk biashara. Kwingine ni vichekesho... au nasema uongo ndg zng?

Promotion ipi? Funguka zaidi kuweza kufahamu nini ili ndugu zako waweze kujua ni ule au uongo.
 
Unapojitokeza kwenye vyombo vya habari kuwasilisha jambo unaloamini lina impact kwa walengwa, unakuwa na lengo flani, kwa mfano watu waone na kuamini kuwa mnayoyafanya hayana makosa. Yaani wewe uko sawa au mambo yenu yako sawa siku zote . Hiyo ndo promotion
 
Unapojitokeza kwenye vyombo vya habari kuwasilisha jambo unaloamini lina impact kwa walengwa, unakuwa na lengo flani, kwa mfano watu waone na kuamini kuwa mnayoyafanya hayana makosa. Yaani wewe uko sawa au mambo yenu yako sawa siku zote . Hiyo ndo promotion

Nikutoe ukakasi kwenye mabandiko yako:

1. Mtukufu Rais kasema vyombo vya habari viko huru.
2. Kauliza, umesikia kuna chombo cha habari kimelalamikia uhuru?

Msingi wa mada Mungu atupe nini sisi?

Ijumaa tutakuwa live kutokea Kisutu.

Pana taabu hapo?
 
Sisi tuna deni na farasi mwenyewe. Kasema vyombo vya habari vina uhuru kamili.

Ijumaa tutakuwa "live" kutokea Kisutu.

Habari ndiyo hiyo.
Vipi huyo farasi alisimama wima au alipiga mateke?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom