karata amezichanga ivo,,, apo vp wadau?arts HGL
chuo ganiSasa nimewaamulia nmepga two ya point 10 alaf wamenitema first round .
Sasa ni iv ata wapeleke had round ya kumi niko nao.
Sitakubal swala la kuahirisha mwaka
Sasa nimewaamulia nmepga two ya point 10 alaf wamenitema first round .
Sasa ni iv ata wapeleke had round ya kumi niko nao.
Sitakubal swala la kuahirisha mwaka

Hahaha
Omba SAUT mwanza, haachwi mtu hapo!arts HGL