Je kuna uwezekano mtu aliyepata div 2 kukosa tena Second Selection?

Je kuna uwezekano mtu aliyepata div 2 kukosa tena Second Selection?

wareuben

Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
17
Reaction score
12
Je kuna uwezekano mtu aliyepata div2 ya point 12 kukosa tena second selection?
 
aisee apo ipo nje ya uwez wetu hiyi ni kaz ya TCU sabb wapo wengne wana had one nao pia wamekosa first round chakufany ni kuwaskilizia tu
 
alaf iyo two yako ni ya mchepuo gan sayans au arts??? au biashara
 

Attachments

  • 1474013145710.png
    1474013145710.png
    95.8 KB · Views: 60
Ukifanya wrong choices unaweza kukosa, na hilo litakuwa tatizo lako na sio TCU. Fanya choices kwa uangalifu sana na hasa kipindi hiki cha lala salama.
 
Sasa nimewaamulia nmepga two ya point 10 alaf wamenitema first round .
Sasa ni iv ata wapeleke had round ya kumi niko nao.
Sitakubal swala la kuahirisha mwaka
 
Mkuu cha kufanya hapo...chagua program ambayo yenye uwezo wa div yako uliyoipata.usikimbilie cozi kubwa abayo inazidi grade ulizopata
 
Atakusa tu hamn namn au mwambie achague education S's yy anachagua law akt haki ndo hiyo
 
Uwezekano upo ndio, mfano umesoma hgl alaf ukachagua bachelor of nursing kwa nini usikose sasa? Ata law udsm unakosa apo!! Ila kwa ivo vyuo apo mfano st August compas ya mbeya ungekua mbeya ungeenda pale pale af unafanya usajili unambiw njoo chuo kikifungua, nilikuwepo wakat jamaa anafanya application ya second round, pia teku hawajapata wanafunz wa kutosh ko nafasi bado ipo

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom