Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Ukikutana na mtu wa namna ni wa kumheshimu na kumuogopaInategemea na anae danganywa kama bado kalala au anakuona mwehu lakini hakwambi..
Hakuna ukweli wowote!
huyo 'dem' unapomdanganya anakuwa hayupo aware kuwa unamdanganya!
Ni kama 'mabro' nao wanavyopenda kusifiwa inabidi utunge uongo ili uweze kumboost confidence yake; mfano halisi ni fake orgasms. Anafurahia ukimwambia unampagawisha, akiamini ndio ukweli huo.
Ni kweli, ila hatuiti uongo ni "mantiki ya maisha" au "negative facts". ila uongo uufanye kulingana na umri na uelewa wa mwanamke.
Uongo ufanane kiasi na ukweli ili baadaye usiumbuke.
Mkuu upo.. Heri ya mwaka mpya!!!
Mkuu upo.. Heri ya mwaka mpya!!!