kiafrika-afrika tuna tatizo kubwa la kutofautisha ndoa (kimila na kimaandishi), mapenzi, na majukumu
Ndoa ya maana na iliyokuwepo since day 1 ya dunia na historia yake... ni ndoa yenye majukumu, wajibu na utumishi....
Ndoa ya sasa, ni ile ya usawa, mapenzi (sio upendo) na haki
binafsi chauro mimi nadhani ndoa yako ni wewe uamuavyo