huo utajiri upo ila ni wa kishetani utaambiwa uwaue wazazi wako ma ndugu zako. wakiisha utaambiwa uwaue rafik zako.
na unapewa masharti kibao mfano ujisaidie vichakani
ulale chini kwa sakafu etc ukikosea masharti unakufa au unakuwa masikin sana
utaona tu maduka yako yanaungua. magari yanapinduka. madeni yanazidi etc.
hivo kama unataka utajiri wa haki piga kazi kwa moyo wote na uwe mbunifu.
achana na utajiri wa waganga utakufa mapema sana tena utakufa ukiwa masikini
Kama unabisha watembelee...unawezakuwa maskini na ukawa na amani na furaha kuliko tajiri wa hela za manyokanyoka
naombeni kujuzwa kuhusu waganga wanaotoa utajiri wa kishirikina.je kuna ukweli wowote kuhusu hili na kama ni kweli je kila mtu akienda kuzichukua hizo nani atakuwa masikini?
hilo sharti la kujisaidia kichakani napiga picha upo posta mpya halafu tumbo linachafuka!
dogo unapenda maisha ya kitajiri nenda kambake mama yako utakuwa tajiri bila masharti
duh masharti kaoge sokoni kariakoo uchi saa sita mchana hakuna atakayekuona ...mmh!!!
Ukiutaka utajiri huu ambao hauna masharti magumu kama vile kuuwa wazazi au ndugu zako kama wafanyavyo, wakinga nenda ngende, huko utapewa utajiri usiokuwa na masharti magumu ila inategemea na uwezo wako wa kuyatekeleza hayo masharti.
Haya mambo yapo na kweli watu wanatoka tena bila kafara kama unataka kuamini nipm ukashuhudie mwenyewe
utajiri huu unamashart ndugu..unaweza ukawapoteza unaowapenda..au mali zako usizitumie ipasavyo mfano mzuri kuna mzee ana magari kibao majumba usiseme ila aruhusiw kupanda gari zake eiza atembee kwa mguu au daladala...mda wote anavaa vipensi... halal kitandani...analala chini ,,angalia utakutana mashart magumu had utajuta...
NOTE
[h=1]Stop Wishing. Start Doing.[/h]
[h=1]Your best revenge is, your own success.[/h]
[h=1]No one is perfect, but some of us are closer than others.[/h]
[h=1]Life is simple, it's just not easy.[/h]