Je kuna uasi unanukia chamani?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,100
Reaction score
831,747
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbali
Your browser is not able to display this video.
 
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
sio uasi bali mpasuko ambao unatokana na maslahi binafsi,au kutengwa hivyo mara tu ccm itakapotangaza wagombea wa ubunge,basi hapo ndipo mpasuko mkubwa utatokea
 
Je hawa watakaa kimya na kufunika kombe mwanaharamu apite?
February
Mpini
Katelefoni
Pasta Gwa
Na maamuzi ya leo ya halfrey
Unaweza kuongeza na wengine.. Lakini inawezekana kabisa October mbaliView attachment 3404325
Nimeweka la Poleole , sidhani kama ni kweli, ana guts za kuandika hivyo na akabaki salama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…