MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,793
- 2,362
Wapumbavu tu ndio watafanya haya☝️☝️
Wapumbavu tu ndio watafanya haya☝️☝️
Hahaahaahaa......ngoja tuone kama Prof.Kabudi atapigwa RISASI.
Mnhh..!! Mama are you hacked!!!!????Huwa nawashangaa sana viongozi wetu kuwapachika jina la beberu, mabeberu kila wanaoona hawaendani nao kimawazo.
Hivi hawaelewi shughuli ya beberu? Mbona wanatutukana hivi?
Kazi ya beberu ni kupanda majikeBeberu ni jina sio neno. Kumbuka hilo. Kila jina lina maana yake.
Sasa wewe hujuwi kazi ya beberu?
Natamani kila moja amsikilize kwa umakini mkubwa anayoongea Mh. Tundu Antiphas Lissu halafu ajiulize, je nia ya Mtanzania yeyote yule kutaka kumdhuru ilitokana na nini?
Flashback: August, 2017
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.
Mkuu hata mtamba hujua kumekucha ila mwenye mamlaka ya kutangaza ni jogoo.....!!
Foxy ni jina lako sexy au cunning lakini pia ni muonekano wa mbweha fox. Acha kukariri, je shule mlikwenda kufanya nini.... neno ni jinsi unavyolitumiaBeberu ni jina sio neno. Kumbuka hilo. Kila jina lina maana yake.
Sasa wewe hujuwi kazi ya beberu?
Mungu alikuwa na sababu ya msingi kabisa kumfanya Lissu aishi...
Kwa kiswahili ndo umesemaje?I feel so tried..!
Flashback: August, 2017
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.
Niliuliza swali humu kama kupona kwa Lissu ni mpango wa Mungu au la. Kama ni mpango wa Mungu kwa nini watu wanamchukia. Je kumchukia sio kumkashifu Mungu aliyemponya? Kwangu mimi ni mapenzi ya Mungu nayo yatimie!
Akitembezewa dau nzuri ya magogoni itauzwa hakuna wa kupinga.Na bado subiri wachina waanze kudai madeni yao, tutauza ikulu iwe ya Chamwino au Magogoni.
Flashback: August, 2017
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.
Flashback: August, 2017
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.
Alichukuwa mtungi uliojaa proud akajijazia mwilini mwake.Hapa naona kama ni watu waliolipwa fedha kwa kazi waliyofanya - kama yale makundi ya wacheza ngoma.
Yes, "you 'FILL' Proud..." Bure kabisa. Hopeless.
Flashback: August, 2017
Hapo juu Mh. Tundu Antiphas Lissu, aliyekuwa Mbunge wa kuchaguliwa na mwakilishi wa wananchi wa Singida akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu nchini Canada.
Fast-forward: November, 2019
Hapo juu Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa kuteuliwa wa Mambo ya nje akitoa taarifa ya kukamatwa kwa ndege yetu tena nchini Canada.
Takafuri...
Mh. Tundu Antiphas Lissu baada ya kutoa taarifa hii muhimu kwa wananchi wa Tanzania alituhumiwa kutumiwa na mabeberu na kuitwa msaliti.
Prof. Palamagamba Kabudi baada ya kutoa taarifa kama hiyo hiyo aliyoitoa Mh. Tundu Antiphas Lissu amepongezwa na kusifiwa kwa uzalendo.
Ndugu zangu Watanzania, je kuna lolote tunajifunza hapa? Naomba maoni yenu yasiyo na jazba wala kebehi. Tanzania ni yetu sote na sidhani kama yuko Mtanzania asiyelitakia mema taifa letu.
Siku hizi wanamungu wao na manabii na mitume wao 40 hivi ambao kila siku wako nao wakikagua miradi.Niliuliza swali humu kama kupona kwa Lissu ni mpango wa Mungu au la. Kama ni mpango wa Mungu kwa nini watu wanamchukia. Je kumchukia sio kumkashifu Mungu aliyemponya? Kwangu mimi ni mapenzi ya Mungu nayo yatimie!
Beberu ni jina sio neno. Kumbuka hilo. Kila jina lina maana yake.
Sasa wewe hujuwi kazi ya beberu?
Sisi marafiki zetu ni majike?Lissu marafiki zake ni mabeberu, wamempa maisha huko !