Upo sahihi sana-Kuna watu nawajua hawana habari na wanawake kabisa ila linapokuja suala la kuvuta sigara au kunywa bia utawaonea huruma wanavyo weweseka.Wapo kuna watu sex sio kipaumbele lwa hiyo basi hamna namna ya wewe kucheat .
Upo sahihi sana-Kuna watu nawajua hawana habari na wanawake kabisa ila linapokuja suala la kuvuta sigara au kunywa bia utawaonea huruma wanavyo weweseka.Wapo kuna watu sex sio kipaumbele lwa hiyo basi hamna namna ya wewe kucheat .
Utajiju😏😏 ukitaka kunikomesha vizuri mpe na wewe ili uniumbue😂😂😂Natasekaje hapa kwa story yako na mumeo wa kufikirika hachepuki are you mad!!??
hahaha unachekesha
Endelea kuwashwashwaNatasekaje hapa kwa story yako na mumeo wa kufikirika hachepuki are you mad!!??
hahaha unachekesha
Unachekesha niteseke kwa kipi.....
kwa ushuzi wako ulioandika!!!
Mimi nitawageuza wote wwe na mumeo infact nitawapiga kachumbari.....Utajiju😏😏 ukitaka kunikomesha vizuri mpe na wewe ili uniumbue😂😂😂
Yaa kweli dudu linaniwasha hebu nibinukie basi.....alafu itabidi usukume ukuta hapo vp mrembo hiki kitu nina hakika mumeo hakufanjii...Endelea kuwashwashwa
🖕Mimi nitawageuza wote wwe na mumeo infact nitawapiga kachumbari.....
Kwa hiyo sisi inatuhusu nini tukuombee kwani siye ndugu zakoMungu ni shahidi yangu tangu nimefunga ndoa ni mwaka wa 6 sasa sijachepuka hata siku moja.
Lakini niseme ukweli, miongoni mwa mambo magumu sana kwa wanaume ni hili. Inahitaji maturity ya hali ya juu na kuogopa Mungu. Inafikia wakati ile asili ya uanaume inakuzidi nguvu.
Tunaomba mtuombee kwa kweli hali ngumu sijui itakuwaje. Mwanaume walau uwe na wanawake 2, mmoja ni mateso sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwanaume ambaye hachepuki labda kama nguvu za kiume hana, watoto wazuri walivyozagaa hivi na hawahitaji nguvu ya kushawishi wanaume tujizuie kukaa nyumba kubwa big noWapo wasiochepuka, but wachache mno. Katika 100 inawezekana 10 wasiochepuka, na 90 wachepukaji.
Mungu unayemuabudu akukumbuke wewe na uzao wako. Be blessed.Ndivyo unavyoamini mkuu?
Wengi hamuelewi majukumu ya mwanaume hasa anapoamua kuwa Baba wa familia,nimekuwa na rafiki zangu ambao wanaendekeza huu umwamba ila kila wakati jasho lao hulitumia kwa maumivu makali sana mf:yupo mmoja siku hiyo anaogopa kupokea simu ananiambia niipokee mimi nidanganye amesahau simu kisa anayepiga ni ma.laya wake aliyemuahidi kumlipia kodi miezi 6 Tabata (yeye mwenyewe anaishi chumba na sebule Tegeta na familia) acha mizinga ya saloon etc na maendeleo hana.
Ukitoa kuogopa dhambi ya uzinzi kutulia na mwanamke mmoja kuna manufaa sana (wachache wamefanikiwa kuyajua),kwanza unakuwa huru mimi simu zangu muda wowote mahali popote mke wangu anashika passwords zote anazijua wakati mwengine nikiwa mbali hutoa yeye maelezo,kufanya sex iliyo safi na kwa uhuru,salama na ya furaha,wakati fulani bado mgeni kwenye ndoa mke wangu alipojifungua first born wetu nikaiga kutoka nje nilikutana na ex ujinga ujinga nikajaa,hofu hofu nimevaa mipira nikiwaza gharama nilizotumia mpaka kukamilisha hiyo mission nikaona ni ujinga,ukishakuwa na watoto wawili+ (though ninao wawili bado nitaongeza Mungu akipenda najiona niko aged 50) najua ndoto zao nimezibeba mimi kutumia pesa 100K pasi na manufaa siioni faida yake zaidi nitawaza niifanyie nini kwa kesho yao au bora waitumie wao kuvaa kula ada etc.
Kuwa muaminifu kwenye ndoa hukupa amani ya maisha,muda wote nyumba inatamalaki furaha mke anacheka watoto wanafurahi hakuna hisia mbaya dhidi yako watoto wanaijua ratiba ya Baba yao kurudi nyumbani ni furaha sana unaingia home watoto wanakufurahia na wanakupa taarifa siku yao ilivyoisha najua hata siku sipo wataukumbuka uwepo wangu (ukiwa mzinzi haya yote utayafanya muda gani wakati ukirudi wamelala?)
Hiyo utamuwekea mumeo kwa nyuma wakati mm nimeanza na ww....
Hiyo labda wewe,mke nae na nafurahia ndoa plus michepuko ya kutosha,maisha ni mazuri ukiwa na mchepukoNgoja na mm niteme kidogo.
Kutochepuka inawezekana, since nimeoa nilichepuka siku moja 2019 dec hivi, hio siku sitokaa nilisahau, nilikosa raha, nilimuonea huruma mke wangu, nilikua na utaratibu kwa kusali kila jioni na familia yangu, karibu miezi miwili yote sikuweza tena. Nilikua na hatia sana. Since then nikajiapiza sitokaa nifanye vile. Na sijawahi tena, simaanishi sitamani lkn namshukuru Mungu ananisaidia kushinda vishawishi vyote.
By experience, ukiwa na mchepuko huwezi kufurahia ndoa yako, utakua hujiamini, matumizi makubwa ya pesa, ratiba kubadirika kabisa, na wakati mwingine mgonjwa. Raha ya tendo la ndoa kwa mkeo litapungua, huwez kumfurahia coz utakua unamfananisha na show za nje, na hawa wanawake wengi wakijua umeoa utapewa vitu utasahau familia. Watoto wako watateseka.
Ewe Mwanaume, umebeba vision na future ya familia yako (watoto), kuchepuka kunakuletea laana, kukupunguzia kipato na migogoro katika familia.
In God we trust.
Mimi kuna michepuko miwili huwa inajua mpka natamani nimuhadithie wifeHela ndo changamotooo mkuu ila hakuna mwanaume asiechepukaaa
Umuadithie ajifunze au??? Me michepuko nakutanaga nayo show mbovu sijui why...ni mmoja tu alinionesha makali kuzidi nilienae... mpaka kuchepuka naona ni kujichosha tuMimi kuna michepuko miwili huwa inajua mpka natamani nimuhadithie wife