Vip wale waliokuwa multiple awamu ya pili coz hawajapata?nackia leo au kesho wanatoa ila n kwa wale waliochaguliwa vyuo awamu y tatu ndo wanahcla ila c wengne tuliopata chuo awmu y 1 n 2 tsubr mda wa kuappel
uczingue wat hta wa awam ya pil wanahucka hasa alio multiplnackia leo au kesho wanatoa ila n kwa wale waliochaguliwa vyuo awamu y tatu ndo wanahcla ila c wengne tuliopata chuo awmu y 1 n 2 tsubr mda wa kuappel
Mkuu iyo taarifa umeipata wapi au ww ni mfanyakazi wa bodi,mm leo nilikua bodi mbona awajasema hayo ulosema ww?acha kukatisha watu tamaa mkuu.nackia leo au kesho wanatoa ila n kwa wale waliochaguliwa vyuo awamu y tatu ndo wanahcla ila c wengne tuliopata chuo awmu y 1 n 2 tsubr mda wa kuappel
ha ha.. soma taarfa zao vzur za 1 n 2 batch y mkopo utaelewa tcu wanatuma majina bod y mkopo kw awamu 1 ,2 ,3 so ww unatakiw ujijue upo wap chuo ulichochaguliwa umekuwa approved by tcu awamu ipi nazan utakuwa umenielewaMkuu iyo taarifa umeipata wapi au ww ni mfanyakazi wa bodi,mm leo nilikua bodi mbona awajasema hayo ulosema ww?acha kukatisha watu tamaa mkuu.
Vip wale walopata second batch mkopo ilihali walipata first selections na hawakua na multiple? na katika batch ya kwanza yamkopo hawakupata wakaja kupata batch ya pili ya mkipo?ha ha.. soma taarfa zao vzur za 1 n 2 batch y mkopo utaelewa tcu wanatuma majina bod y mkopo kw awamu 1 ,2 ,3 so ww unatakiw ujijue upo wap chuo ulichochaguliwa umekuwa approved by tcu awamu ipi nazan utakuwa umenielewa
sasa na ambao hatna ada maana usajil co bureNi baada ya usajili kukamilika vyuoni ndio maana tcu imewaarifu wale wa multiple admission waripoti tar
1/Nov mara moja katika vyuo wanavyotaka kati hivyo walikochaguliwa na baada hapo majina yanapelekwa TCU na Bodi. View attachment 621726
Hizi nifununu tu akuna ukwel wowote tusubiri iyo batch ya tatu ndio ukwel utajulikanaha ha.. soma taarfa zao vzur za 1 n 2 batch y mkopo utaelewa tcu wanatuma majina bod y mkopo kw awamu 1 ,2 ,3 so ww unatakiw ujijue upo wap chuo ulichochaguliwa umekuwa approved by tcu awamu ipi nazan utakuwa umenielewa
sasa na ambao hatna ada maana usajil co bure
dah inabd tpambane na hali zetuAisee bila kulipa ada husajiliwi kwa maana hiyo ukienda kufanya usajili unaambatanisha bank slip yako ya malipo ya ada ndo unasajiliwa hii hutumika vyuo vingi hapa bongo
Wanaforum naomba kuuliza kwa waliokosa mkopo awamu ya pili, je kuna awamu nyingine au ndo basi tena?
Hapo sijui kawaida mwanzo unajilipia kama ukipata wanakurudishia.sasa na ambao hatna ada maana usajil co bure