lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Wakuu, hivi kuna masharti yoyote ya kuvaa vazi la SUTI? Kwa sababu kuna watu wanasema eti ukivaa SUTI hautakiwi kufanya yafuatayo? Kupanda daladala? Kushika bomba kwenye basi, kugongea sigara, kula chakula bila kijiko, kunywa maji ya viroba, kula ugali, kuongea kiswahili, kutumia simu ya mchina,kuangalia tv ya chogo, kuvaa raba au buti, kulilia chenji, ubishana hadharani, kuulizia bili ya chakula. Je! Hii ni kweli? Maana hata mimi nimesikia tu mpaka naogopa kuvaa SUTI yangu mpya ya harusi maana wanaweza kunicheka,
Jamani nielewesheni
Jamani nielewesheni