Ng'wamapalala
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 6,808
- 6,500
Baada ya kuangalia video nimegundua siasa za Arusha ni ngumu sana hasa kwa wanasiasa ambao ni vuguvugu!
Maelezo anayoyatoa Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro yanajenga picha inayoonyesha ndani ya nyumba yake ya kisiasa (CHADEMA) Arusha kuna mambo hayako sawa!
Meya Kalist anaposema waache siasa mpaka 2020 anakuwa na maana gani? Je, amekubaliana na kauli ya Rais Magufuli ambayo inapingana na mtazamo wa CHADEMA?
Meya Kalist anaposema ni ujinga kutoishukuru serikali ya Awamu ya Tano na Rais Magufuli kwa yale yanayofanyika Arusha anakuwa anatoa ujumbe kwa nani? Nani ambaye haishukuru Serikali ya Awamu ya Tano na Rais Magufuli?
Amemalizia kwa kusema, yeye hawezi kuacha kumshukuru Rais Magufuli na kama kuna watu wanachukia basi hilo ni tatizo lao!
Is the writing on the wall and the footprints are in the sand?
Maelezo anayoyatoa Meya wa Jiji la Arusha, Kalist Lazaro yanajenga picha inayoonyesha ndani ya nyumba yake ya kisiasa (CHADEMA) Arusha kuna mambo hayako sawa!
Meya Kalist anaposema waache siasa mpaka 2020 anakuwa na maana gani? Je, amekubaliana na kauli ya Rais Magufuli ambayo inapingana na mtazamo wa CHADEMA?
Meya Kalist anaposema ni ujinga kutoishukuru serikali ya Awamu ya Tano na Rais Magufuli kwa yale yanayofanyika Arusha anakuwa anatoa ujumbe kwa nani? Nani ambaye haishukuru Serikali ya Awamu ya Tano na Rais Magufuli?
Amemalizia kwa kusema, yeye hawezi kuacha kumshukuru Rais Magufuli na kama kuna watu wanachukia basi hilo ni tatizo lao!
Is the writing on the wall and the footprints are in the sand?
Video ya aliyoyasema Meya wa Jiji, Kalist Lazaro