255mkombozi
Senior Member
- Apr 25, 2013
- 106
- 13
Hivi kunachama cha ma-IT Tanzania ambacho kimesajiliwa na serikal? Kama kipo kinaitwaje? Kujisajili inakuaje?
Hii nchi inatia Hasira, yaani sekta nzima ya makompyuta inaonekana kama ukatuni katuni fulani usio kuwa na umuhimu wowote.
Yaani serikali inajitoa ufahamu kuwa ICT ndio key ya karne ya sayansi na teknolojia, Hapa kwentu Muziki unathaminiwa zaidi kuliko Sayansi ya kompyuta inasikitisha sana.
Unaweza kusema tusilalamike tuamue kufanya organisation zetu wenyewe, lakini kama hawapo tayari kukusapoti na kukutambua bado kila kitu kitaonekana kigumu tu. Dah!