Je kuingilia mawasiliano ya mtu au kikundi siyo kosa kisheria?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,885
Najiuliza tu !!kuingilia mawasiliano ya MTU bila idhini Yake siyo kosa kisheria!!

Kwa kauli ya mh Lema ni kuwa anaingilia mawasiliano ya serikali!!

Hii ikoje?
 
"Basi tuka-mtreki kwenye mitandao anaulizia data hizi mara data zile" sakata la makinikia
 
Chochote kizuri kwa ccm ni halali na kisichofurahia ccm ni jinai!.
Mambo ya haki, sheria na wajibu, ni hadithi za kale mjomba.

BTW, huna sababu ya kumtafuta LEMA kwa sheria. Naona unalazimisha eti "kaingilia mazungumzo ya nani sijui". Usihangaike kwa kuwa unachotaka kumpigilia nacho Lema kimeshadunda.

Una uwezo wa kwenda nyumbani kwake ukamkamata, ukampeleka kokote unakojua na ukipata ushauri wa namna ya kumfanya, unamfikisha polisi. Hapo utaandikishwa kama "kikosi kazi", cha namna yoyote, utamsingizia namna yoyote, na kwa msaada wa hao jamaa zenu, basi utakuwa umetimiza ndoto zako juu ya damu yake.

Sheria za nini tena? Hazina umuhimu!. Kikubwa ni utashi wako.
 
Najiuliza tu !!kuingilia mawasiliano ya MTU bila idhini Yake siyo kosa kisheria!!

Kwa kauli ya mh Lema ni kuwa anaingilia mawasiliano ya serikali!!

Hii ikoje?

..vipi ikiwa hao walioingiliwa mawasiliano yao walikuwa wakipanga uhalifu na hujuma?
 
Kwa SIRIKALI ya sasa naona kama kama ni sawa tu kwa sababu hata Mwenye sirikali aliwahi kusema pale kwenye mkutano wa taarifa ya makinikia kuwa 'KUNA MTU WALIM HACK KWENYE MAWASILIANO YAKE NA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII'.
Kisheria hairuhusiwi ila kwa system iliyopo kwa sasa kum hack mtu cyo dhambi tena.
 
Back
Top Bottom