Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,285
- 2,043
Jiji la Dar es salaam limekuwa ktk hekaheka chini ya Mkuu wa Mkoa Bw. Chalamila la kubomoa Nyumba wanazoishi na kufanyia ufuska Madada Poa kwa kufanya biashara ya kujiuza.
SWALI MUHIMU
Je kubomoa hizo nyumba ndio SULUHISHO la kumaliza hiyo BIASHARA ya hao DADA POA?
Binafsi siamini kuwa hilo ni SULUHISHO.
SWALI MUHIMU
Je kubomoa hizo nyumba ndio SULUHISHO la kumaliza hiyo BIASHARA ya hao DADA POA?
Binafsi siamini kuwa hilo ni SULUHISHO.