M MR.SILVER JF-Expert Member Joined Jan 14, 2012 Posts 287 Reaction score 79 Apr 12, 2012 #1 Kama picha ingepigwa kimvuli pekeeyake pila taswira za hawa watu ..ungeelezeaje wanachofanya wao wawili?
Kama picha ingepigwa kimvuli pekeeyake pila taswira za hawa watu ..ungeelezeaje wanachofanya wao wawili?
mysteryman JF-Expert Member Joined Aug 4, 2011 Posts 1,080 Reaction score 395 Apr 12, 2012 #2 hahaha....duh mpodo live aisee
Mussa kiraka Senior Member Joined Mar 4, 2012 Posts 106 Reaction score 13 Apr 12, 2012 #3 MR.SILVER said: View attachment 51582 Kama picha ingepigwa kimvuli pekeeyake pila taswira za hawa watu ..ungeelezeaje wanachofanya wao wawili? Click to expand... silver nawe punguza umbea kote kule ukutan ulifuata nini? Pia hongera unafaa kua mwandish wa habari
MR.SILVER said: View attachment 51582 Kama picha ingepigwa kimvuli pekeeyake pila taswira za hawa watu ..ungeelezeaje wanachofanya wao wawili? Click to expand... silver nawe punguza umbea kote kule ukutan ulifuata nini? Pia hongera unafaa kua mwandish wa habari
Wa Nyumbani JF-Expert Member Joined Mar 31, 2011 Posts 438 Reaction score 67 Apr 12, 2012 #4 Kwangu mimi hii ni picha bora ya mwaka!!!
kabanga Platinum Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,580 Reaction score 18,952 Apr 12, 2012 #5 tamu... niaje hii?
Terrire Member Joined Jul 13, 2011 Posts 88 Reaction score 10 Apr 12, 2012 #6 Haaaaa Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Ongezea na hii........................ Vivuli noumer!!!!
Endangered JF-Expert Member Joined Sep 22, 2011 Posts 922 Reaction score 231 Apr 12, 2012 #7 Mwe Mwe Mwe!
M MR.SILVER JF-Expert Member Joined Jan 14, 2012 Posts 287 Reaction score 79 Apr 13, 2012 Thread starter #8 Mussa kiraka said: silver nawe punguza umbea kote kule ukutan ulifuata nini? Pia hongera unafaa kua mwandish wa habari Click to expand... ahahaaaaaaa sio umbea ni picha tu ilipigwa ahahaaaaaa
Mussa kiraka said: silver nawe punguza umbea kote kule ukutan ulifuata nini? Pia hongera unafaa kua mwandish wa habari Click to expand... ahahaaaaaaa sio umbea ni picha tu ilipigwa ahahaaaaaa
toghocho JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 1,172 Reaction score 198 Apr 13, 2012 #9 nimeipenda mkuu, but ni kivuli sio kimvuli!