Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wandugu,
Mwenye ufahamu naomba atujuze wadau wa JF, Je mabadiliko ya katiba yakifanyika mapema ndani ya miaka hii mitano ambayo bado JK atakuwa mtawala unadhani kutakuwa na madhara gani ( I mean Consequences zake)?
Kwa upeo wangu mdogo nadhani itasababisha kupungua kwa madaraka ya Rais ( dilution of Power) ambayo itapelekea mambo yafuatayo:-
Mwenye ufahamu naomba atujuze wadau wa JF, Je mabadiliko ya katiba yakifanyika mapema ndani ya miaka hii mitano ambayo bado JK atakuwa mtawala unadhani kutakuwa na madhara gani ( I mean Consequences zake)?
Kwa upeo wangu mdogo nadhani itasababisha kupungua kwa madaraka ya Rais ( dilution of Power) ambayo itapelekea mambo yafuatayo:-
- Rais ataanza kutawala kwa taabu kutokana na nguvu ya sheria itakayoibuka na hivyo kumwajibisha yeye pamoja na watuhumiwa wengine wa scandal kubwakubwa tunazozijua na tusizozijua mfano: EPA, RADAR, Kiwira Coal mines, RIchmond n.k
- Pili, nahisi katiba mpya itaamuru mihimili mitatu ya seriakali ( BUnge, Mahakama na Baraza la Mawaziri) ifanye mabadiliko makubwa ya kimuundo wa uongozi kwenye nafasi za kuteuliwa pamoja na zile za kuchaguliwa kwa kura za wananchi walio wengi.