smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,405
- 2,836
Upo sahihi haswaaaaaUpo Sahihi Kiasi Flani, Wachaga Wa Marangu Asilimia Nyingi Wanachura, Sura Nzuri Mno, Isipokuwa Miguu Yao Ni Kama Chelewa.
Upo sahihi haswaaaaaUpo Sahihi Kiasi Flani, Wachaga Wa Marangu Asilimia Nyingi Wanachura, Sura Nzuri Mno, Isipokuwa Miguu Yao Ni Kama Chelewa.
Usizuzuke na rangi ya chai tamu ya chai sukariWakuu, uzuri wa mwanamke ni SIRI ya mwanaume lakini ki maumbile yaani sura na mwili pana kabila lina akina mama wazuri mno.
Nimejiuliza swali hili baada ya kukuta kwenye "Youtube" mtu mmoja akitoa maoni yake kama ifuatavo.
Yeye katoa makabila KUMI tu na kaanza na la kumi kama ifuatavo:-
10. Wahaya.
9. Wanyakyusa.
8. Wadigo.
7. Wasambaa.
6. Wanyamwezi.
5. Wanyaturu.
4. Wanyiramba.
3. Wachaga.
2. Wambulu.
1. Warangi.
Pamoja na kusifia uzuri wake pia katoa kasoro zake kila kabila, je wewe unaafiki utafiti wake?
Ehee Mungu baba na hivi siwezi kumuelewesha mtu nitakomaMkuu, elewa nchi hii ina makabila mengi na yeye amesema anatoa kumi tu kuanzia kabila la kumi kuelekea kabila la kwanza kwa uzuri na si makabila hayo kumi ndo wanawake wake ni wazuri kwa sura na umbo. Elewa huo ni mpangilio.
Anaweza kuwa mzur wa sura lakini mashine haina mvuto ivyo inategemea unaongelea uzuri gani???Kwani wewe mkuu unaonaje? Kabila lipi linaongoza!
Yeah, that can do all kinds of messed up things to your mind. But keep em coming.Am broke
Wewe ni mnyakyusa Simara?Hiyo list ni kweli, wanyakyusa ni wazuri sana mkuu.
ndiyo Mkuu.Wewe ni mnyakyusa Simara?
Shape ni polygonNadhan ID yangu inajielez vizur
Mabint wa uko ni motoo
Haha I figured. Ni kweli lakini, wanawake wakinyakyusa wengi ni wazuri na wapole... A very lethal combinationndiyo Mkuu.
Yeah ni kweli ni wachapakazi ila wana kaubabe flan hivi.Haha I figured. Ni kweli lakini, wanawake wakinyakyusa wengi ni wazuri na wapole... A very lethal combination
Ma-strong, independent women. Sema sijawai kutana na hako kaubabe, wewe unako?Yeah ni kweli ni wachapakazi ila wana kaubabe flan hivi.
Huo ujeuri/kiburi ndiyo unaleta kaubabe.Ma-strong, independent women. Sema sijawai kutana na hako kaubabe, wewe unako?
Ila nilishawai kumbana na kiburi/jeuri ya kinyakyusa.
Hebu weka sura yake tuoneAaah haujataja wasukuma..hakika haujamtendea haki mke wangu kipenzi mrembo karembeka rangi ya mtume na chura nzito nzito
Mbona umegeneralize sana?mie nitakomenti kwa ninao wajua,No 9 wana mili mikubwa ila sura hazina tofauti na wanaume