Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Wakuu, uzuri wa mwanamke ni SIRI ya mwanaume lakini ki maumbile yaani sura na mwili pana kabila lina akina mama wazuri mno.
Nimejiuliza swali hili baada ya kukuta kwenye "Youtube" mtu mmoja akitoa maoni yake kama ifuatavo.
Yeye katoa makabila KUMI tu na kaanza na la kumi kama ifuatavo:-
10. Wahaya.
9. Wanyakyusa.
8. Wadigo.
7. Wasambaa.
6. Wanyamwezi.
5. Wanyaturu.
4. Wanyiramba.
3. Wachaga.
2. Wambulu.
1. Warangi.
Pamoja na kusifia uzuri wake pia katoa kasoro zake kila kabila, je wewe unaafiki utafiti wake?
Nimejiuliza swali hili baada ya kukuta kwenye "Youtube" mtu mmoja akitoa maoni yake kama ifuatavo.
Yeye katoa makabila KUMI tu na kaanza na la kumi kama ifuatavo:-
10. Wahaya.
9. Wanyakyusa.
8. Wadigo.
7. Wasambaa.
6. Wanyamwezi.
5. Wanyaturu.
4. Wanyiramba.
3. Wachaga.
2. Wambulu.
1. Warangi.
Pamoja na kusifia uzuri wake pia katoa kasoro zake kila kabila, je wewe unaafiki utafiti wake?
Last edited: